Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
Majuzi kati nilikuwa mitaa ya Sinza kupiga misele kwa washkaji nilikaa kama siku 4 hivi siku 3 zilikuwa za mateso kwangu uyu mdudu anaeitwa MBU.
Hata awe mmoja ndani siwezi lala sasa uyu mwenzangu ni mtu wa ganja yaani ganja ni kolee jamaa akilala hasikii mbu wala shangazi yake mbu.
Nikijaribu kumwambia kuhusu neti anasema hawana madhara aise siku ya 4 nilienda mwenyewe kwa MUHA 12000/= kununua net nikampa kama zawadi.
Yaani nikilala hivi naona MBU kama wananiona mimi tu mwenzangu hana habari.
BANGI IS TRUE MADICATION?
Hata awe mmoja ndani siwezi lala sasa uyu mwenzangu ni mtu wa ganja yaani ganja ni kolee jamaa akilala hasikii mbu wala shangazi yake mbu.
Nikijaribu kumwambia kuhusu neti anasema hawana madhara aise siku ya 4 nilienda mwenyewe kwa MUHA 12000/= kununua net nikampa kama zawadi.
Yaani nikilala hivi naona MBU kama wananiona mimi tu mwenzangu hana habari.
BANGI IS TRUE MADICATION?