Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Kwa miaka kumi na tano iliyopita, Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya England ambaye kwasasa anakipiga katika klabu ya Everton alikuwa katika fomu ya juu sana.
Ni katika kipindi hiko, Wayne Rooney au Pele Mweupe kwa jina la utani, alitwaa kila taji katika ngazi ya klabu.
Wayne Rooney ametwaa mataji matano ya EPL.
Ameteaa Uefa Champions League, Uefa Europa League, F.A cup, Klabu Bingwa ya Dunia, bila kusahau Carling cup na Ngao ya Hisani.
Hiyo inamfanya kuwa Muingereza mmoja kati ya Waingereza wawili kutwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
Dunia ya mashabiki wa soka haikuwahi kumtazama Rooney kwa umakini na kumpa sifa zake. Mimi naamini katika miaka 10 mpaka 15 iliyopita Rooney alistahili kutwaa mchezaji bora wa Dunia walau mara mbili hivi.
Je ni kwanini FIFA walimnyima Rooney tuzo ya mchezaji bora wa Dunia akiwa katika ubora wake?
Ni katika kipindi hiko, Wayne Rooney au Pele Mweupe kwa jina la utani, alitwaa kila taji katika ngazi ya klabu.
Wayne Rooney ametwaa mataji matano ya EPL.
Ameteaa Uefa Champions League, Uefa Europa League, F.A cup, Klabu Bingwa ya Dunia, bila kusahau Carling cup na Ngao ya Hisani.
Hiyo inamfanya kuwa Muingereza mmoja kati ya Waingereza wawili kutwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
Dunia ya mashabiki wa soka haikuwahi kumtazama Rooney kwa umakini na kumpa sifa zake. Mimi naamini katika miaka 10 mpaka 15 iliyopita Rooney alistahili kutwaa mchezaji bora wa Dunia walau mara mbili hivi.
Je ni kwanini FIFA walimnyima Rooney tuzo ya mchezaji bora wa Dunia akiwa katika ubora wake?