Kwanini Wazanzibari hawalalamikii Mkataba wa DP world kuwatenga wasinufaike na wao!

Kwanini Wazanzibari hawalalamikii Mkataba wa DP world kuwatenga wasinufaike na wao!

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
 
Wazanzibari hawawezi kulalamika kwa kuwa ni mtu wao na pia hawaathiriki cho chote! Itakuwa kumsaliti mwezao wakati wanufaika ni wenyewe!
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Zaidi ya hapo inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA huduma kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo uwazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

na kadhalika...
Swali muhimu sana, na linaltoasummary ya mkataba kwamba ni mkataba wa hila.

Yaani uamini kuwa Waziri Mbarawa na katubu wake, (wote wazanzibari), wanawapendaWatanganyika zaidi ya wanavyowapenda ndugu zao wa damu waliopo Zanzibar!!
 
Kama mkataba ungekuwa na manufaa hayo ambayo yanasemwa basi ni lazima ungezihusisha hadi bandari za kule Zanzibar. Mikopo tu ambayo tumekopa kutoka World Bank na kwingineko, Zanzibar wanatia mkono, hata kama ni kwenye masuala yasiyo ya Muungano.

Mfano, Tanganyika ilikopa Bilioni 600 kuendeleza miradi ya maji (Jambo ambalo siyo la muungano), lakini kinachoshangaza ni pale ambapo nusu ya pesa hizo zilipelekwa Zanzibar huku deni likionekana ni Tanganyika. Kama bandari ingekuwa na hayo manufaa yanayodaiwa, basi lazima wazanzibar wangetaka wahusishwe..

Wenyewe wanasema ni halali kinachofanywa na Raisi Samia kwasababu sisi tumepokonya uhuru wao kwa miaka mingi. Tumewanyang'anya utaifa wao, sarafu yao na uwakilishi wao kimataifa, hivyo anachofanya Raisi Samia ni halali. Haya ni maneno ya Bwana Jusa.
 
Wazanzibari hawawezi kulalamika kwa kuwa ni mtu wao na pia hawaathiriki cho chote! Itakuwa kumsaliti mwezao wakati wanufaika ni wenyewe!
Hujaelewa swali Ileje. Swali ni kuwa tumeambiwa manufaa ni makubwa sana kufanya kazi na wadubai hawa....sasa kama ni hivyo kwanini wazenji wao hawapigi kelele ili na wao waingizwe kwenye manufaa tunayoambiwa yapo?
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
Zanzibar walishabinafsisha bandari yao naomba uwe unaelewa acha ubishi na ulalamishi. Wazanzibari wana akili siyo km nyie mnaotumiwa na mafisadi wa sukuma gang.
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
Wazanzibari wana mamlaka yao ya bandari huenda huu mkataba na wao wataingia baadae.

JokaKuu Nguruvi3 Kalamu Pascal Mayalla zitto junior
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
Wana akili kuliko vilaza wengi walio huko bara!
 
Wazanzibari hawawezi kulalamika kwa kuwa ni mtu wao na pia hawaathiriki cho chote! Itakuwa kumsaliti mwenzao wakati wanufaika ni wenyewe!
Kwa hiyo Watanzania wanaodaiwa kutokuwa na uadilifu wa kusimamia uendeshaji wa chao chombo kama Bandari kwa maneno mengine ni Watanganyika tu.

Kwa maana nyingine huu mkataba ni katika jitihada ya kuwakomboa Watanganyika ambao wamekosa sifa na uwezo wa kujiendeleza wakiachwa peke yao.
 
Zanzibar walishabinafsisha bandari yao naomba uwe unaelewa acha ubishi na ulalamishi. Wazanzibari wana akili siyo km nyie mnaotumiwa na mafisadi wa sukuma gang.
Hebu tupe mwanga kidogo, ni lini huo ubinafsishaji ulifanyika? Je ni kweli karibia na asilimia 21% ya wafanyakazi wa Bandari ya Dar es Salaam wanatoka Zanzibar?
 
Sio kwamba hawalalamiki,Zanzibar toka 2021 walikuwa wamesign na Oman kujengewa bandari maeneo ya Manga Pwani. Nilisikia tetesi kwamba ujenzi umeanza.
Screenshot (46).png
Majaribio ya Bandari ya mafuta
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    8 KB · Views: 3
Kwa hiyo Watanzania wanaodaiwa kutokuwa na uadilifu wa kusimamia uendeshaji wa chao chombo kama Bandari kwa maneno mengine ni Watanganyika tu.

Kwa maana nyingine huu mkataba ni katika jitihada ya kuwakomboa Watanganyika ambao wamekosa sifa na uwezo wa kujiendeleza wakiachwa peke yao.
.
20230616_211930.jpg
 
Mfano, Tanganyika ilikopa Bilioni 600 kuendeleza miradi ya maji (Jambo ambalo siyo la muungano), lakini kinachoshangaza ni pale ambapo nusu ya pesa hizo zilipelekwa Zanzibar huku deni likionekana ni Tanganyika.
Duh! Tsh. 300,000,000,000 kwa watu chini ya milioni mbili ambazo kwa hesabu za haraka ni zaidi ya Tsh. 150,000 kwa kila Mzanzibar pamoja na vibabu na vitukuu! Hizi hela zote wazanzibar wanazipeleka wapi hadi wasamehewe umeme?
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom