Kwanini Wazanzibari hawalalamikii Mkataba wa DP world kuwatenga wasinufaike na wao!

Kwanini Wazanzibari hawalalamikii Mkataba wa DP world kuwatenga wasinufaike na wao!

Nilimsikia Rais Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar kuwa bandari za Zanzibar hazimo tena chini ya Muungano kutokana na sheria mpya waliyotunga na kwamba bandari za Zanzibar zitaendelezwa kwa utaratibu tofauti.
Sheria zinaondoa vipengele kwenye katiba? Maana katiba inasema ni jambo la muungano
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
Tudai serikali moja, wazenji wametupiga kwa visasi
 
Kwa hiyo Watanzania wanaodaiwa kutokuwa na uadilifu wa kusimamia uendeshaji wa chao chombo kama Bandari kwa maneno mengine ni Watanganyika tu.

Kwa maana nyingine huu mkataba ni katika jitihada ya kuwakomboa Watanganyika ambao wamekosa sifa na uwezo wa kujiendeleza wakiachwa peke yao.


Majibu ya kiongozi mkubwa wa zenji
Sikiliza dakika ya 9.15 hadi 12
 


Majibu ya kiongozi mkubwa wa zenji
Sikiliza dakika ya 9.15 hadi 12

Samia kawawezesha sana hawa. Sasa wanawika.

Alikuwa mmoja wao toka mwanzo, lakini hakuna aliyemstukia!

Sasa anatimiza matakwa yao, ndiyo maana wamepoa kabisa na kelele za kero za muungano huzisikii tena, kwa sababu Samia alikwisharekebisha mengi ya madai yao.
 
Lakini Bandari ni suala la muungano kwa mujibu wa mkataba wa muungano. Hapa ndipo hoja inakuja, huu mkataba wa Tanzania , ni upi huo? Kwanini usiwe mkataba wa Tanganyika? Na hapa ndipo tunauliza role ya Rais SSH kama rais wa JMT ni ipi? Na kwanini board za bandari za bara zina Wazanzibar na hata nafasi za kazi zinatolewa kwa kuzingatia Uzanzibar. Ni kwanini Wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT walikwenda Dubai katika ile kamati ya watu 30? Hawa walimwakilisha nani ikiwa suala zima ni la Watanganyika.

JokaKuu Pascal Mayalla
Leta hivo vipengele vinavyosema bandari ya zanzibar inahusika na muungano, usilete perepete mlizokuwa mnazibumba JF miaka nenda rudi kwa wajinga wa JF
Na inakuwaje ni rahisi kushusha mzigo wako Zanzibar, na hata kuna kipindi walikuwa Free Port, ila majizi ya TZ waliona wananakosa madili ya kandokando kama mizigo inashukuia Zanzibar
Tunajua JF inahitaji mropokaji mmoja kama wewe ili uwongo upepe, kama wanavyosema "Lies travel faster than Truth"
 


Majibu ya kiongozi mkubwa wa zenji
Sikiliza dakika ya 9.15 hadi 12


Tunawaita wale wapuuzi wanaosema kauli ya Mbowe ni ya kuligawa Taifa waje wasikilize maneno hayo.

Yaani Wazanzibar wakisema hiyo ni haki, Mtanganyika akitoa maoni yake tena kwa staha hiyo ni Ubaguzi

Zito Zuberi Kabwe upo wapi? Njoo usikie watu wako maana wewe ni mzanzibar zaidi ya Mtanganyika
Prof. Kitila Mkumbo njoo hapa usikie watu wako na ndoto zako za kuwa Mbunge chake chake
Rostam Aziz, Mzee Wasira na wale machawa wa Tulia njooni msikilize halafu mtuambie hiyo ni nini

Ukiacha wafanyabishara na wastaafu ninyi wengine akina Mpango, Zitto, Majaliwa , Tulia na wengine Siku Tanganyika itakaporudi (na itarudi tu) , mkagombee Uwakilishi Zanzibar. Tanganyika hamna nafasi hata ya udiwani, tuatwakumbusha.

Pascal Mayalla Zitto JokaKuu
 
Wawalalamikie wajomba Zao?
Rais wao ndo kwanza yuko Berlin anatembelea mijusi.
Wadanganyika tutulie tu kwasasa tushapigwa za uso
 
Siku Tanganyika itakaporudi (na itarudi tu) ,
Pascal Mayalla Zitto JokaKuu
Mkuu Nguruvi3 , Jussa alighafilika tuu na kutoa hizo kauli za kihayawani!, msameeni bure kama tulivyo msamehe Mbowe!.

Watanzania tunahitaji civic education kuhusu muungano watu, sio tuu ni muungano wa kisiasa wa nchi mbili, yaani a political union kuunda nchi moja, China ya muungano ni wa milele!. Tumechanganya udongo, tumejiunga politically, physically and chemically kwa two compounds ku undergo chemical reactions na kufa na kuunda compound mpya ya Tanzania. You can't undo this process, Tanganyika is dead long ago and buried so does Jamhuri ya Watu wa Zanzibar!. Kilichopo ni eneo tuu la iliyokuwa Tanganyika ni Tanzania Bara na eneo iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ni Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar.

Kwenye zile articles of the union, there is no legal framework kuvunja muungano, ndio maana tunasema tutaulinda kwa gharama yoyote!.

Kama kuna wenzetu mnadhani kuna siku Tanganyika itafufuka na itarudi, maadam Miujiza IPO ya kufufua wafu, then subirieni huo muujiza wa ufufuo wa Tanganyika, ila mjue mtasubiri sana!.

P
 
Sheria zinaondoa vipengele kwenye katiba? Maana katiba inasema ni jambo la muungano
Si unakumbuka hata Zanzibar kujiita nchi ilianza sheria ya serikali ya Zanzibar na baadaye katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ikarekebishwa.
 
Samia kawawezesha sana hawa. Sasa wanawika.

Alikuwa mmoja wao toka mwanzo, lakini hakuna aliyemstukia!

Sasa anatimiza matakwa yao, ndiyo maana wamepoa kabisa na kelele za kero za muungano huzisikii tena, kwa sababu Samia alikwisharekebisha mengi ya madai yao.
Mpaka kisiwa kilichokuwa kinabishaniwa kusini mwa DSM wamepewa kuwa ni cha Zanzibar, maana yake Dar haina bahari ni land locked.
Kilikuwq kinaitwa Latham Island (Fungu Mbaraka) , sasa kinaitwa Fungu Kizimkazi, kusini mashariki mwa Dar eti ni zenji bado. Tumekwisha.
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
Wazanzibar wanajua kwamba wamesgatukabidhi zigo la mavi ili tupakae,wao hawana shida.
 
Mpaka kisiwa kilichokuwa kinabishaniwa kusini mwa DSM wamepewa kuwa ni cha Zanzibar, maana yake Dar haina bahari ni land locked.
Kilikuwq kinaitwa Latham Island (Fungu Mbaraka) , sasa kinaitwa Fungu Kizimkazi, kusini mashariki mwa Dar eti ni zenji bado. Tumekwisha.
Nani kawapa!
Wasicheze na moto hawa!

Sasa wamevuruga, hawakujua jinsi ya kula na kipofu.
 
Nani kawapa!
Wasicheze na moto hawa!

Sasa wamevuruga, hawakujua jinsi ya kula na kipofu.
Sikuizi watu wanasaini tu kwa kumuogopa. Tanganyika kwisha. Raia wa nchi jirani ya Zanzibar wangebaki makamu Rais tu kulinda maslahi ya nchi yao pendwa ya Zanzibar.
 
Sikuizi watu wanasaini tu kwa kumuogopa. Tanganyika kwisha. Raia wa nchi jirani ya Zanzibar wangebaki makamu Rais tu kulinda maslahi ya nchi yao pendwa ya Zanzibar.
Samia kaonyesha udhaifu wa ajabu sana.

Yeye kuwa Rais, tena kwa kurithi tu, kaona anayo madaraka hata ya kuuza nchi anayoiongoza; akifikiri hakuna atakayehoji?
 
Back
Top Bottom