mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Nimejiuliza nimekosa majibu, 2015 alikuja mhindi mmoja nyumbani akiomba nimpatie gari abebe vyuma chakavu from jombe to kibaha , since then amekuwa kama mshikaji bado nampakilia sana vyuma, kinachonishangaza amekusanya mtaji mkubwa kwa miaka michache, pesa aliyonayo ni kubwa sana , wakati najitfa yeye kawa na mtaji mkubwa, nikitazama background yake dah ni ngumu kuliko mimi, najiuliza ni mbinu gani wenzetu wanazo watu wa asili ya asia
AKILI zina mushkeli!Nimejiuliza nimekosa majibu, 2015 alikuja mhindi mmoja nyumbani akiomba nimpatie gari abebe vyuma chakavu from Jombe to Kibaha , since then amekuwa kama mshikaji bado nampakilia sana vyuma, kinachonishangaza amekusanya mtaji mkubwa kwa miaka michache, pesa aliyonayo ni kubwa sana, wakati najitafuta yeye kawa na mtaji mkubwa, nikitazama background yake dah ni ngumu kuliko mimi, najiuliza ni mbinu gani wenzetu wanazo watu wa asili ya asia.
Wana Consistency na discipline kwenye kila wanachofanya.najiuliza ni mbinu gani wenzetu wanazo watu wa asili ya asia.
Vingereza na terminology nyingi zisizo na maanna,Wewe unaweza kuwa unakabiliwa na vicious circle of poverty pamoja na black tax.
Wanaroga Mzee wangu nenda Zanzibar au Pangani ukajisafishe, baada ya hapo endelea na kupiga mzigo miaka sio mingi mtakua level moja au utamzidi kabisa ingawa Mimi siamini sana hizo Mambo maana muamuzi wa yote ni MunguNimejiuliza nimekosa majibu, 2015 alikuja mhindi mmoja nyumbani akiomba nimpatie gari abebe vyuma chakavu from Jombe to Kibaha , since then amekuwa kama mshikaji bado nampakilia sana vyuma, kinachonishangaza amekusanya mtaji mkubwa kwa miaka michache, pesa aliyonayo ni kubwa sana, wakati najitafuta yeye kawa na mtaji mkubwa, nikitazama background yake dah ni ngumu kuliko mimi, najiuliza ni mbinu gani wenzetu wanazo watu wa asili ya asia.
Majungu,ushirikina ,fitina,kijicho na ujinga uliokithiri.Nimejiuliza nimekosa majibu, 2015 alikuja mhindi mmoja nyumbani akiomba nimpatie gari abebe vyuma chakavu from Jombe to Kibaha , since then amekuwa kama mshikaji bado nampakilia sana vyuma, kinachonishangaza amekusanya mtaji mkubwa kwa miaka michache, pesa aliyonayo ni kubwa sana, wakati najitafuta yeye kawa na mtaji mkubwa, nikitazama background yake dah ni ngumu kuliko mimi, najiuliza ni mbinu gani wenzetu wanazo watu wa asili ya asia.
Tuna safari ndefu sana akili za vizazi vyetu zina fikra za utumwa bado ilhali tumeshatoka huko..Waswahili hatuna utamaduni wa kusaidiana
Wenzetu wanasaidiana sanaa
Waswahili wanaona mpaka uajiriwe ndo umeyapatia maisha
Hio black tax ni noma,Wewe unaweza kuwa unakabiliwa na vicious circle of poverty pamoja na black tax.
Pesa ni rohoNimejiuliza nimekosa majibu, 2015 alikuja mhindi mmoja nyumbani akiomba nimpatie gari abebe vyuma chakavu from Jombe to Kibaha , since then amekuwa kama mshikaji bado nampakilia sana vyuma, kinachonishangaza amekusanya mtaji mkubwa kwa miaka michache, pesa aliyonayo ni kubwa sana, wakati najitafuta yeye kawa na mtaji mkubwa, nikitazama background yake dah ni ngumu kuliko mimi, najiuliza ni mbinu gani wenzetu wanazo watu wa asili ya asia.
Ushauri mdogo kutoka kwangu ni kuwa jaribu kufanya mambo yako kisirisiri, tuache showoff tutatimiza malengo.Nimejiuliza nimekosa majibu, 2015 alikuja mhindi mmoja nyumbani akiomba nimpatie gari abebe vyuma chakavu from Jombe to Kibaha , since then amekuwa kama mshikaji bado nampakilia sana vyuma, kinachonishangaza amekusanya mtaji mkubwa kwa miaka michache, pesa aliyonayo ni kubwa sana, wakati najitafuta yeye kawa na mtaji mkubwa, nikitazama background yake dah ni ngumu kuliko mimi, najiuliza ni mbinu gani wenzetu wanazo watu wa asili ya asia.