Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 248
mimi ni lema siwezi oa kwa wakina muro,massawe,malya,nkya,swai eti wazazi wanasema wao ni maskini,,du!
mimi ni lema siwezi oa kwa wakina muro,massawe,malya,nkya,swai eti wazazi wanasema wao ni maskini,,du!
na baba au mama akishakwambia usioe kwenye koo flani usijaribu kupinda shingo utajutia tu nimeona mengi,wazazi wanajua mengi na wanawatakia mema watoto wao,hata akisema ukoo ni masikini sio mbaya kwa sababu sio mpango wa Mungu mtu kuwa masikini wachaga wako sahii.piga mzigo uone kama umasikini utakuwepo.
huyo baba yako ni kilaza.
Kuna koo zenye magonjwa ya kurithi na pia makabila na koo nyingine huwa na matabia ya ajabu ajabu lama vile ujambazi, ufuska, uchawi, nk
Ukiwauliza, baba kwanini nisimuoe huyu binti, utasikia akisema, sisi hatuoi ukoo au kabila analotoka huyo msichana.
Ukiuliza kwa nini, unajibiwa eti ni mila.
Ukiwauliza, baba kwanini nisimuoe huyu binti, utasikia akisema, sisi hatuoi ukoo au kabila analotoka huyo msichana.
Ukiuliza kwa nini, unajibiwa eti ni mila.
mimi ni lema siwezi oa kwa wakina muro,massawe,malya,nkya,swai eti wazazi wanasema wao ni maskini,,du!