MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Mifano ya Kichwa changu cha Habari ipo mingi tu ndani na nje ya Tanzania ila kwa Tanzania naona hali hii inaongezeka kila Uchao tu na Kututishia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁😁😁Labda wanashindwa kiendana na kasi ya awamu ya mabinti husika. Maana sometimes mabinti hujituma zaidi ili wazee wawainguze kwenye urithi, kumbe ndio wanawamaliza kabisa....
Kwani kafa nani December hii?Mifano ya Kichwa changu cha Habari ipo mingi tu ndani na nje ya Tanzania ila kwa Tanzania naona hali hii inaongezeka kila Uchao tu na Kututishia.
Mifano ya Kichwa changu cha Habari ipo mingi tu ndani na nje ya Tanzania ila kwa Tanzania naona hali hii inaongezeka kila Uchao tu na Kututishia.
Ulichokiandika hapa naweza sasa Kuthibitisha kuwa ni kweli kwani hata Madaktari Bingwa Wanne nchini wamenipa Mrejesho huu huu kama wako.Hulazimika kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ....... anapata mshtuko anakufa
Kwani katika Research tu na hasa ukizirejea Principles zake ukichagua Sample Size ya Watu Wawili kwa Jambo fulani ni Kosa kubwa Academically?Unaweza kukuta hiyo research yako, sample ni wazee wawili tu.
100% correct.Madada wa 30's wakipata "BONGE LA BWANA" aka PDG huwa wanajituma sana kwa malavidavi ,sasa wazee wetu wanashindwa kuendana na kasi ya madada hivyo inawalazimu waanze kutumia MUNDENDE aka PUTURU aka VUMBI LA CONGO ,VIAGRA aka ERECTO wakati tayari wana pressure,visukari,cholesterol mwilini na matokeo yake ni KUZIMA JUU YA KIFUA.
Dah umetisha.Madada wa 30's wakipata "BONGE LA BWANA" aka PDG huwa wanajituma sana kwa malavidavi ,sasa wazee wetu wanashindwa kuendana na kasi ya madada hivyo inawalazimu waanze kutumia MUNDENDE aka PUTURU aka VUMBI LA CONGO ,VIAGRA aka ERECTO wakati tayari wana pressure,visukari,cholesterol mwilini na matokeo yake ni KUZIMA JUU YA KIFUA.
Hivi Logically tu Mzee aliye katika 70's zake na anaitafuta sasa 80 anaweza kweli kwenda na Supersonic Speed Kitandani na Mwanamke aliye 30's?Kama upweke unakusumbua tafuta mwanamke mtu mzima anaejielewa, sio slay queens, hofu ya kuwa cheated na mrembo wako inatosha kukupeleka kaburini 😳☝️😑
Hivi Logically tu Mzee aliye katika 70's zake na anaitafuta sasa 80 anaweza kweli kwenda na Supersonic Speed Kitandani na Mwanamke aliye 30's?