MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #21
Kuna Mzee namfahamu sasa yupo in 80's zake Kaoa Mwanamke wa 30's Kazaa nae ila Mmoja wa Mshenga wake anamsaidia Kazi Kuu ya Kitandani.Kwa kweli hapana, hivi mwisho kwa mwanaume huko kitandani si miaka 70 au?? 😟😟... mimi sidhani wanaoaga wakiwa na akili timamu, au upweke unawasukuma kutaka kuoa tena??? Ndio maana familia nyingine zina intervene kwenye mali sababu sidhani kama mtu yuko above 70 anaoa akiwa na akili zake timamu😟😟, Sijui lakini