Kwanini Wazee wengi ambao walipata kuwa Maarufu na Matajiri nchini wakioa tu Wanawake wa 30's huugua na Kufa haraka?

Kwanini Wazee wengi ambao walipata kuwa Maarufu na Matajiri nchini wakioa tu Wanawake wa 30's huugua na Kufa haraka?

Kwa kweli hapana, hivi mwisho kwa mwanaume huko kitandani si miaka 70 au?? 😟😟... mimi sidhani wanaoaga wakiwa na akili timamu, au upweke unawasukuma kutaka kuoa tena??? Ndio maana familia nyingine zina intervene kwenye mali sababu sidhani kama mtu yuko above 70 anaoa akiwa na akili zake timamu😟😟, Sijui lakini
Kuna Mzee namfahamu sasa yupo in 80's zake Kaoa Mwanamke wa 30's Kazaa nae ila Mmoja wa Mshenga wake anamsaidia Kazi Kuu ya Kitandani.
 
Ni sisi tunavyotafsiri kwa nje, ndoa nyingine Sio lazima sex, mnaweza mkaoana for companion... Ila kwa msichana mbichi ndoa za hivi ni challenge , kuna wanaoana kaka na dada au na Mbwa sasa sex sio kigezo muhimu
 
Wanahofu ya kuchapiwa na wahuni hivyo hujitutumua kama vile wako early 20s to late 30s kusimamia kucha matokeo yake ni kujimaliza haraka sana.
Kwa kweli hapana, hivi mwisho kwa mwanaume huko kitandani si miaka 70 au?? 😟😟... mimi sidhani wanaoaga wakiwa na akili timamu, au upweke unawasukuma kutaka kuoa tena??? Ndio maana familia nyingine zina intervene kwenye mali sababu sidhani kama mtu yuko above 70 anaoa akiwa na akili zake timamu😟😟, Sijui lakini
 
Kuna mzee jirani yangu hapa kaoa mwanamke 30' Kama mke was 3, ila kwa bahati mbaya kanamperekesha sana kiasi kwamba mzee akija hapa anaondoka na stress tu. Mara kwamwambie tuachane, Mara kamtishie kuwa kataenda nje ya ndoa na Visa kibao

Sijajua Nini kimdtokea Ila yule mzee anakaribia mwezi sijamuona akija.

Sometimes Hawa wazee wanakufa kwa stress
Na nasikia Wazee kama hawa hata katika Zoezi zima la Kurogwa na Kurogeka kwa Kuzeeka Kwao hata Dawa za Ndumba huwa zinawakolea upesi.
 
Wengi wana maradhi au wanakutana nansyress mfano kwenye biashara na kodi. Mbona wengi tu wana ishi muda mrefu
 
Kama upweke unakusumbua tafuta mwanamke mtu mzima anaejielewa, sio slay queens, hofu ya kuwa cheated na mrembo wako inatosha kukupeleka kaburini 😳☝️😑
Wee chukua slay queen ufurahie pisi kali siku zako za mwishoni hapa duniani.

Ni ujinga kuwa na uwoga eti ata cheat...kugegedwa mwanamke hilo ni jambo ambalo halipo mikononi mwako hivyo unapoteza muda kuliwazia
 
Kwa kweli hapana, hivi mwisho kwa mwanaume huko kitandani si miaka 70 au?? 😟😟... mimi sidhani wanaoaga wakiwa na akili timamu, au upweke unawasukuma kutaka kuoa tena??? Ndio maana familia nyingine zina intervene kwenye mali sababu sidhani kama mtu yuko above 70 anaoa akiwa na akili zake timamu😟😟, Sijui lakini
Wanawake ni wachawi sana ni usipime, akigusa tuu ndumba inatiki kiuchawi na ' me' huponi. hii nimefundishwa na kupewa na Bibi yangu mzaa Baba.

akanipa kinga kabisaaa! mimi handsome boy! na wanawake hawani wezi kila nikioa na kuishi nao nawakamata kirahisi sana masharti ya dawa hii usiwazodoe ukiwakamata! Mary aliniroga nikala kesho yake nikamtimua mazima akaenda kugombana na mganga!

Kaa ukiamini wana wake hawataacha uchawi Duniani mpaka Mungu mwenyewe arudi! kile kikao walichokaa na shetani Bustanini Eden kilikuwa kikubwa sana. ishini nao kwa akili, na uwe mchawi zaidi yao , ukicheza hata mungu wako huyo utamuacha!!

Wanacho fanya ni kuvunja vunja ujanja wako kwanza, km hujui uchawi bora uoe Gaba chori ukae nalo huko huko Ulaya; na kama ume kamatika nione in box nikupe maarifa lkn siyo ke'' nina uwezo wa kuwa jua!
 
Wee chukua slay queen ufurahie pisi kali siku zako za mwishoni hapa duniani.

Ni ujinga kuwa na uwoga eti ata cheat...kugegedwa mwanamke hilo ni jambo ambalo halipo mikononi mwako hivyo unapoteza muda kuliwazia
Nakubali mkuu! kwanza mtoto mdogo ataanzia wapi kunirostisha kila kitu najua!!! hata km wakipiga si atapiga mmoja tu au wawili tu na ntajua! napiga beat!!
 
Mifano ya Kichwa changu cha Habari ipo mingi tu ndani na nje ya Tanzania ila kwa Tanzania naona hali hii inaongezeka kila Uchao tu na Kututishia.
Ulikuwa unajua siku zao za kufa kama wasingeona wadogo? Mstari mwekundu hauvukwi!
 
Nakubali mkuu! kwanza mtoto mdogo ataanzia wapi kunirostisha kila kitu najua!!! hata km wakipiga si atapiga mmoja tu au wawili tu na ntajua! napiga beat!!
kweli kabisa wacha wapige tuu maana mie mwenyewe sitamgegeda yeye peke yake wakati pisi kali zimejaa mtaani huku mchawi akiwa pesa tuu. suala la mwanamke kugawa papuchi kwa kidume mwengine hilo by default litatokea tuu so no need o stress
 
Labda wanashindwa kiendana na kasi ya awamu ya mabinti husika. Maana sometimes mabinti hujituma zaidi ili wazee wawainguze kwenye urithi, kumbe ndio wanawamaliza kabisa....
Kweli kabisa maana vibinti vina onyesha ufundi wote,wewe mzee uendani na Biti so kinachofuata ni kifo tu
 
Kuna Mzee namfahamu sasa yupo in 80's zake Kaoa Mwanamke wa 30's Kazaa nae ila Mmoja wa Mshenga wake anamsaidia Kazi Kuu ya Kitandani.
Kuoa binti mdogo jiandae kuchapiwa.kuna Dr mmoja kaoa binti mdogo,miaka Kama nane imepita,binti analiwa na kijana wa umri wake na mzee akiwa shift za usiku,binti anaenda kumfariji kazini,kumbe ndo muda anaenda kupata night glory kwa kijana wake.life is a threat based on your decision.
Kiukweli inaume lakini kwa sababu yanafanyika miongono mwa binadamu Basi Mungu aturehemu.
 
Labda wanashindwa kiendana na kasi ya awamu ya mabinti husika. Maana sometimes mabinti hujituma zaidi ili wazee wawainguze kwenye urithi, kumbe ndio wanawamaliza kabisa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo ukweli wenyewe.
 
Madada wa 30's wakipata "BONGE LA BWANA" aka PDG huwa wanajituma sana kwa malavidavi ,sasa wazee wetu wanashindwa kuendana na kasi ya madada hivyo inawalazimu waanze kutumia MUNDENDE aka PUTURU aka VUMBI LA CONGO ,VIAGRA aka ERECTO wakati tayari wana pressure,visukari,cholesterol mwilini na matokeo yake ni KUZIMA JUU YA KIFUA.
100%
 
Mifano ya Kichwa changu cha Habari ipo mingi tu ndani na nje ya Tanzania ila kwa Tanzania naona hali hii inaongezeka kila Uchao tu na Kututishia.
Mwanamke miaka ya 30s manake ni nuksi tupu kwa asilimia kubwa. Hajaolewa miaka yote hadi kufikia 30s, wanaume wote wamemkimbia ww unajiingiza tu? Pia wanajua sana kukuingiza kwenye 18 ya mapenzi sababu wana uzoefu mkubwa sababu wameshakuwa na wapenzi wengi. Ila ukishaingia tu, na ukaanza kubadilika, lazima akuondoe umbakishie mali yeye. Wengi wanauawa
 
Kama upweke unakusumbua tafuta mwanamke mtu mzima anaejielewa, sio slay queens, hofu ya kuwa cheated na mrembo wako inatosha kukupeleka kaburini 😳☝️😑
Tatizo nini!! ujue vitumbo vyao vizuri mno! vimiguu mtelezo vitamu mno! vipaja ndo usiseme! visura utadahni wamepiga pasi hivi km Rebeca 83,

sasa mtu aende kwa limama limechoka hata zile naniliu flows ya Estrogens kwa damu' hana au zimekwisha!! harufu zao wadada ndo inavuta wazee! wanacho kitaka hicho! sijui ina nini ile yaani kiumbe chochote me' anakuwa mjinga sana!

Si unaona kule JKT ri afande lile korofiii!! korofi hasa! likiona ke'' tu mama yangu!! linalegea hilooo!! yaani nilikuwa nacheka hadi basi!! ukitaka shushu jkt kaa karibu na mdada, tena wanajua anakwambia kabisa kaa hapa! kuna kitu jinsia ya kike Mungu kawaumbiamo!!

Asikudanganye mtu kale kaharufu!! ke hata apige marashi vipi hakaishagi, inakuwa maradufu zaidi km ana breed! hii iko kwa wanyama wote wa jinsia ya kike! kana tuvutiaga. ndo maana wenye mafua sugu wanishia kuwa mahanithi!
 
Back
Top Bottom