Pre GE2025 Kwanini Waziri Mkuu Majaliwa asijiuzulu ili Serikali iundwe mpya

Pre GE2025 Kwanini Waziri Mkuu Majaliwa asijiuzulu ili Serikali iundwe mpya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kusini wanalia ugumu wa maisha, tatizo la umeme, mbolea na mambo ya korosho hali ni mbaya
Huo ni uongo bhna huku kusin mbona mambo safi, tumetoka kuuza korosho juzi tu hapa baada ya mbaazi nani analia ugumu wa maisha? Lbda huko daslamu, maan huku kusin sukar ni 2700 Ugumu wa maisha gani unazungumzia? We toa sababu za kutuvutia tuungane nawe katika hizo chuki zako kwa majaliwa sio kusingizia watu wanalia, matatz ya kutegemea kubeti ndy hayo mkeka ukichanika hasira zote unamalizia kwa wanasiasa
 
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
Mkuu mbona unazunguka sana,tatizo ni namba moja Wala siyo namba tatu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
NI rahisi tu! Ukiona unabadilisha wafanyakazi kila siku na bado mambo hayaendi ujue shida ni wewe
 
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
ikisha undes uoya, mgao wa umeme utaisha? au ajiudhuru moata stories za kuzunguzia kwenye Magroup yenu ya whatsapo ya Ukooo
 
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
Tatizo ni Rais mwenyewe.

Ameteua wasaidizi ambao kimsingi hawamsaidii bali wanapambana naye.

Akijiuzulu yeye na nchi itapona
 
Back
Top Bottom