It's not by chance or choice... Its by design.
Na chimbuko lake ni Ukoloni.
Waafrika ukifuatilia mila zao za asili kupitia historia na mafundisho walipigania sana uhai wa mtu. Miji yao ukubwa wake ulipimwa kwa idadi ya watu hai na wenye Afya. Na kimsingi ndivyo inavyopaswa kuwa.
Lengo la wakoloni lilikuwa ni kututawala milele.. na hii wamefanikiwa.wametufanya na sisi leo tunawaza kama wao wanavyotuwazia.. cheap fuel to drive their economy.. sisi ni disposable
Muhimu kwetu leo ni rasilimali zetu.. lakini ukweli haya madini si muhimu kama watu wanakufa ni wenye afya dhoofu.. haya madini ni muhimu kwao wao wakoloni.
Kwa sasa hata miundo yetu ya kujitawala inaheshimu mawazo yao na sio yetu.. inatufundisha ushindani shuleni.. wao wanaondoa ushindani mashuleni.. toka mdogo inatunza kuwa mashindanoni na weusi mwenzetu na kwa kufanya hivyo tunakuwa rewarded..
Ikiwa elimu ni vita na bunduki zimegawiwa mashuleni basi nina hakika ili tu kushinda waafrika wengi wangetwangana risasi bila.kufikiria mara mbili..
Mie ninaamini kabisa kabisa sisi hatupendani maana hatuko huru na hapa tuko kwenye mashamba ya mkoloni tunaendelea kumlimia huku tunajichagulia wanyampara.. na kwa nadharia hiyo the sick and the weak don't save the purpose.. tunawaacha wafe.
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile app