Kwanini 'Wazungu' hupambana sana ili Mgonjwa asife, lakini 'Waafrika' hujitahidi mno kufanya 'Maziko' ya Kifahari kwa Marehemu?

Kwanini 'Wazungu' hupambana sana ili Mgonjwa asife, lakini 'Waafrika' hujitahidi mno kufanya 'Maziko' ya Kifahari kwa Marehemu?

Mzungu akiwa na Mgonjwa wake Hospitalini atahangaika hata kwa 'Gharama' zake zote tu ili 'ayaokoe' Maisha yake 'asife' lakini kwa Mwafrika ( Mswahili ) Yeye akiwa na Mgonjwa Hospitalini wala 'hajali' kivile na pengine hata kutoa 'Huduma' au 'Msaada' anakuwa mgumu ila pale Mgonjwa 'akifa' tu ndipo utaona 'anavyojitutumua' kwa Kuchangia 'Mazishi' huku akitoa 'ahadi' za kila namna Mazishini.

Je, Ubongo wa Mzungu na Mwafrika ( Mswahili ) ni sawa au si sawa? Kuna Jambo 'nimelishuhudia' leo na Kuthibitisha kuwa Waafrika tuna Majanga.
Nakubaliana na hili juzi hapa nimepoteza mzazi wangu tena muhimbili yani hawajali kbsa hawako serious kuokoa maisha mpaka unajiuliza walilazimishwa kuwa madaktari?hakuna wito kbsa mtu anaumwa pesa ikipungua doktor haji hata ukimpa ahad utu umewatoka kbsa Mungu atusaidie sana
 
Nakubaliana na hili juzi hapa nimepoteza mzazi wangu tena muhimbili yani hawajali kbsa hawako serious kuokoa maisha mpaka unajiuliza walilazimishwa kuwa madaktari?hakuna wito kbsa mtu anaumwa pesa ikipungua doktor haji hata ukimpa ahad utu umewatoka kbsa Mungu atusaidie sana
Pole sana kwa kumpoteza mama!
 
Sana mkuu,,
Yaani we wacha kabisa mkuu,,roho mbaya zimetawala sana ..
Na huwa nakereka mtu anapiga piga simu mara kibao kuulizia mgonjwa anaendeleaje! Ameanza kula [emoji849][emoji849], mie huamua kuweka simu pembeni!
 
Dah kwakweli sisi waafrika sijui tuna nini iyo kitu nimeiona sana mtu anaumwa hata mia mtu hatoi lakini ukisia kafariki utasikia wanazika lini, mbona wakati anaumwa mchango kutoa shuhuri pevu alafu kama kitabia siku hadi siku
 
Nakubaliana na hili juzi hapa nimepoteza mzazi wangu tena muhimbili yani hawajali kbsa hawako serious kuokoa maisha mpaka unajiuliza walilazimishwa kuwa madaktari?hakuna wito kbsa mtu anaumwa pesa ikipungua doktor haji hata ukimpa ahad utu umewatoka kbsa Mungu atusaidie sana

Pole mno kwa 'Kufiwa' na 'Mzazi' Mkuu ila nadhani tu pengine 'hujauelewa' vyema huu 'Uzi' na hata hivyo nakushukuru kwa 'Kuichangia' Kwako pia.
 
"GOD WAS ALREADY LEFT AFRICA"

Hivi Watanzania ni kwanini tunapenda 'Kushoboka' Kukitumia 'Kiingereza' wakati tunajua 'hatukiwezi' na tunaishia tu kutoa 'Maboko' kama lako hili?
 
Na huwa nakereka mtu anapiga piga simu mara kibao kuulizia mgonjwa anaendeleaje! Ameanza kula [emoji849][emoji849], mie huamua kuweka simu pembeni!

Mimi huwa 'nawasindikizia' na 'Matusi' ya maana tu Mkuu ambayo najua Siku nikienda 'Mbinguni' ndiyo yatanifanya 'nichomwe' sana tu Moto huko.
 
Mzungu akiwa na Mgonjwa wake Hospitalini atahangaika hata kwa 'Gharama' zake zote tu ili 'ayaokoe' Maisha yake 'asife' lakini kwa Mwafrika ( Mswahili ) Yeye akiwa na Mgonjwa Hospitalini wala 'hajali' kivile na pengine hata kutoa 'Huduma' au 'Msaada' anakuwa mgumu ila pale Mgonjwa 'akifa' tu ndipo utaona 'anavyojitutumua' kwa Kuchangia 'Mazishi' huku akitoa 'ahadi' za kila namna Mazishini.

Je, Ubongo wa Mzungu na Mwafrika ( Mswahili ) ni sawa au si sawa? Kuna Jambo 'nimelishuhudia' leo na Kuthibitisha kuwa Waafrika tuna Majanga.
Kwanza Dhana ya Kifo dhidi ya Uhai haiko wazi kwenye vichwa vya wengi huku Africa na hii inatokana na phylosofia ya Kifo chenyewe.
Pengine mapokeo ya Dini nayo inachangia kiasi kikubwa lakini pia Masikini.

Maiti ni sawa na mtu akiyekula Chakula kizuri sana au niseme kitamu sana lakini baadae kikishamengenywa kinakuwa kienyesi....kind of useless anyway.
Maiti haihitaji gharama kubwa hivo lakini inahitaji Heshima ktk kuisitiri.

Kupigania uhai wa mtu kwa kweli hili liko juu sana huko Ulaya kuliko huku Africa lakini ukitizama vizuri hili utaona ya kwamba linachangiwa na Umasikini wa Nchi unaotokana na Rushwa.Taifa linaloongozwa kwa kupiga Vita Rushwa na likaweka watu wake mbele linaweza kuendelea kwa haraka sana na kitu cha kwanza cha kutilia mkazo ni Afya ya watu wake pamoja na Elimu.

Siku moja kutakuwa Inshallah
 
Binafsi naona wazungu wanathmini sana utu na uhai wa watu. Hata ukienda hospitali zao kipaumbele kwa miyoyo yao ni kujitahidi binadamu mwenzao apone na asifariki. Ndio maana hata mgonjwa akifariki hospitalini huwa kuna kuwa na majadiliano ya madaktari na manesi kuhusu kama kuna kitu wangeweza kufanya kuokoa maisha yako. Huku kwetu cc hutu thamaniani kiasi hicho...yaani ukiugua na hata kufa ni jambo la kawaida...utasikia tunasema "ni mpenzi ya mungu". Nahisi ni kisaikologia zaidi..yaani tumekua na tumezoea kukumbwa na misiba, ajali na magonjwa ya ndugu na marafiki zetu wa karibu..na tuanajua ni vigumu kuchomoka hata ukienda hospitali. Hivyo imefanya haya majanga yawe kitu cha kawaida kwenye maisha yetu - hatujali tena!!
 
Africa is the place love the dead, hate the living.they celebrate when you die ,they hate when you live.
 
Mzungu akiwa na Mgonjwa wake Hospitalini atahangaika hata kwa 'Gharama' zake zote tu ili 'ayaokoe' Maisha yake 'asife' lakini kwa Mwafrika ( Mswahili ) Yeye akiwa na Mgonjwa Hospitalini wala 'hajali' kivile na pengine hata kutoa 'Huduma' au 'Msaada' anakuwa mgumu ila pale Mgonjwa 'akifa' tu ndipo utaona 'anavyojitutumua' kwa Kuchangia 'Mazishi' huku akitoa 'ahadi' za kila namna Mazishini.

Je, Ubongo wa Mzungu na Mwafrika ( Mswahili ) ni sawa au si sawa? Kuna Jambo 'nimelishuhudia' leo na Kuthibitisha kuwa Waafrika tuna Majanga.
GREAT POST, UBARIKIWE.
 
wazungu hawana roho mbaya na chuki?
Wazungu hawana roho mbaya mkuu..,,wala chuki,,
Mzungu ni kiumbe pekee ambaye anaweza akapanga jambo na kuwaeleza wengine,,
Mfano anataka kusafiri,
Anataka kufanya chochote cha maendeleo ,,
Atakisema hata kabla ya mwaka mzima kufika..wakati huku kwetu Africa mambo ya maendeleo mfano kujenga,,unataka kusafiri ng'ambo nk mtu anafanya siri kuogopa roho mbaya za kichawi..
Mzungu atakusaidia sana ktk kufanya jambo la maendeleo,,wakati mwafrika ukimtajia jambo la wewe kuendelea basi elewa hutofanikiwa kwa kuwategemea wao kukusaidia,..
Mfano...pengine unahitaji msaada wa kifedha ili jambo lako liende,,unaweza kumfata jamaa au ndugu kabisa ambaye uwezo wa kukusaidia anao lakini akishajuwa unahitaji ili upige hatua ktk maisha ,,kusaidiwa ni ngumu sana,,tofauti na mtu mweupe..
Mzungu hukusukuma juu uzidi kupaa wakati mwafrika atakukandamiza uzidi kushindwa..
 
Back
Top Bottom