Kwanini weekend hii mechi za Ligi Kuu hazifanyiki, shida nini?

Kwanini weekend hii mechi za Ligi Kuu hazifanyiki, shida nini?

Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.

TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.

Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.

N A W A S I L I S H A.
Inashangaza sana, akili ya Karai hiyo.
 
Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.

TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.

Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.

N A W A S I L I S H A.
Halafu eti ligi ni ya tano Afrika. AIBU sana hiii.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sisi Yanga sc tutoe kwenye ujinga huo. Sisi tuko tayari kucheza muda wowote. Hii ni figisu ya dunduka's
Nyinyi ndio mnafaidika kupita timu zote kwa ratiba kwa misimu 3 sasa.Ndio maana mmecheza gemu 3 mfululizo nyumbani Hakuna ratiba ya namna hiyo duniani.Unabisha ilete.
 
Sisi Yanga sc tutoe kwenye ujinga huo. Sisi tuko tayari kucheza muda wowote. Hii ni figisu ya dunduka's
Yanga tuko na vikosi vitatu hata wakitaka tucheze kila siku tunaweza na bado kikosi cha kwanza kikatimiza saa 72 baada ya kucheza mechi.
 
Nyinyi ndio mnafaidika kupita timu zote kwa ratiba kwa misimu 3 sasa.Ndio maana mmecheza gemu 3 mfululizo nyumbani Hakuna ratiba ya namna hiyo duniani.Unabisha ilete.
Ukishusha mlima kwasasa, tegemea kupandisha mlima wakati wa kurudi.
 
Ukishusha mlima kwasasa, tegemea kupandisha mlima wakati wa kurudi.
Hamna lolote wacha kuleta justification zisizo na mantiki.Ratiba imepangwa kishabiki.Kwanini timu ianze mechi 3 nyumbani?
 
Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.

TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.

Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.

N A W A S I L I S H A.

Hamia ligi kuu Ulaya, mechi zipo mpaka muda huu!
 
Tutaongea hadi tuchoke inakuaje Ligi ya Tano Afrika ,,haraf hakuna refa atammoja alieitwa na CAF katika Tournament za Caf...??
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom