Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ungeongea kuhusu miundombinu ingekuwa na hoja.Ligi ya South Africa ina timu ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeongea kuhusu miundombinu ingekuwa na hoja.Ligi ya South Africa ina timu ngapi
Nilidhani ina timu nyingi kuliko NBC PLUlitaka kusemaje
Inashangaza sana, akili ya Karai hiyo.Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.
TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.
Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.
N A W A S I L I S H A.
😁😁 hii comment imenichekesha sana.Na mtambi wake kama gunia la mahindi
Wala mbwa mnalazimisha kuhalalisha tabia zenu za kujitundika[emoji41][emoji41][emoji41]Bongo ukiwa serious sana na mambo unaweza kujinyonga
SureBongo ukiwa serious sana na mambo unaweza kujinyonga
Wala mbwa tena kiajeWala mbwa mnalazimisha kuhalalisha tabia zenu za kujitundika[emoji41][emoji41][emoji41]
Wahehe tunawataniaga km wala mbwa ndio kabila lenye sifa ya kupenda kufanya maamuz ya kujinyonga tena wakiwa na akili zao timamu[emoji41][emoji41][emoji41]Wala mbwa tena kiaje
Halafu eti ligi ni ya tano Afrika. AIBU sana hiii.Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.
TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.
Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.
N A W A S I L I S H A.
Eti tunawazidi hadi SAHalafu eti ligi ni ya tano Afrika. AIBU sana hiii.
Sisi Yanga sc tutoe kwenye ujinga huo. Sisi tuko tayari kucheza muda wowote. Hii ni figisu ya dunduka'sDawa yake ni Simba na Yanga kutolewa kimataifa...
Wakitolewa hutoona huu ujinga tena
Nyinyi ndio mnafaidika kupita timu zote kwa ratiba kwa misimu 3 sasa.Ndio maana mmecheza gemu 3 mfululizo nyumbani Hakuna ratiba ya namna hiyo duniani.Unabisha ilete.Sisi Yanga sc tutoe kwenye ujinga huo. Sisi tuko tayari kucheza muda wowote. Hii ni figisu ya dunduka's
Yanga tuko na vikosi vitatu hata wakitaka tucheze kila siku tunaweza na bado kikosi cha kwanza kikatimiza saa 72 baada ya kucheza mechi.Sisi Yanga sc tutoe kwenye ujinga huo. Sisi tuko tayari kucheza muda wowote. Hii ni figisu ya dunduka's
Ukishusha mlima kwasasa, tegemea kupandisha mlima wakati wa kurudi.Nyinyi ndio mnafaidika kupita timu zote kwa ratiba kwa misimu 3 sasa.Ndio maana mmecheza gemu 3 mfululizo nyumbani Hakuna ratiba ya namna hiyo duniani.Unabisha ilete.
Hamna lolote wacha kuleta justification zisizo na mantiki.Ratiba imepangwa kishabiki.Kwanini timu ianze mechi 3 nyumbani?Ukishusha mlima kwasasa, tegemea kupandisha mlima wakati wa kurudi.
Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.
TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.
Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.
N A W A S I L I S H A.