kilema
Member
- Feb 23, 2009
- 59
- 0
Hivi kwa nini wanawake wakiolewa katika familia fulani wao ndio chanzo cha kusamatika kwa upendo uliokuwepo katika familia hiyo.
Kwetu tumezaliwa wanaume wawili na wanawake sita. toka tumekuwa tulikuwa tunapendana sana. Kasheshe ilianza baada ya kaka yangu kuoa. mkewe akawa hatutaki ndugu kabisa? bahati nzuri kaka yangu ndie anayejiweza kiuwezo kwa hiyo tukifika kwake tunaonekana kama vile tumekuja kuomba omba hata kam ni jambo lingine limetufikisha hapo. Hakuna ugomvi wala nini na mama huyu lakini anatengeneza bifu juu yetu kiasi cha kumfanya kaka asiwe tena karibu na sisi.Huyu mama mwenyewe kwao masikini hohe hahe.Hamjui dunia duara kesho ikiwa vinginevyo uso utauweka wapi?
Kwetu tumezaliwa wanaume wawili na wanawake sita. toka tumekuwa tulikuwa tunapendana sana. Kasheshe ilianza baada ya kaka yangu kuoa. mkewe akawa hatutaki ndugu kabisa? bahati nzuri kaka yangu ndie anayejiweza kiuwezo kwa hiyo tukifika kwake tunaonekana kama vile tumekuja kuomba omba hata kam ni jambo lingine limetufikisha hapo. Hakuna ugomvi wala nini na mama huyu lakini anatengeneza bifu juu yetu kiasi cha kumfanya kaka asiwe tena karibu na sisi.Huyu mama mwenyewe kwao masikini hohe hahe.Hamjui dunia duara kesho ikiwa vinginevyo uso utauweka wapi?