Kwanini William Ruto kaanzisha chama kiitwacho CCM?

Kwanini William Ruto kaanzisha chama kiitwacho CCM?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
20211021_072602.jpg
 
Hicho chama cha CCM Kenya kipo toka zamani labda kama hujui siasa za kenya. Na muasisi wa chama hicho ni Isack Ruto.

Kusema CCM Kenya imeanzishwa juzi sio sawa.

Wanataka kujiunga na UDA chama ambacho kimeasisiwa na William Ruto kwenye uchaguzi mkuu 2022
 
Mashinani maana yake ni nini?Tuanzie hapo kwanza.
1. shina1 nm ma- [li-/ya-] stem, tree trunk.

2. shina2 nm ma- [li-/ya-] (siasa) cell: Kiongozi wa ~ wa CCM CCM cell leader.

Kwa mujibu wa Kamusi - Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI)

cc: Victoire
 
Kumbe. Mbona hakuna logic sasa.
Ipo manake ni chama kilichotapakaa kwenye grass root/kinaanzia chini kabisa huko ndio kuna wanachama wengi
ww mwakajana hukusikia ya kwamba CDM walikuwa wanakiimarisha chama chao kwenye matawi.......ndio mambo kama haya sasa
 
Hiki chama kilianzishwa na Isaack Ruto,alipokuwa Gavana,tangu aliposhindwa kwenye uchaguzi,hiki chama kimefifia sana.

William Ruto ambaye kwa sasa ndio Deputy president,Alikuwa kwenye chama Cha Jubilee yeye na Raisi Uhuru,na ndio chama kilichowaingiza Madarakani.

Tangu wameshindwana,William Ruto yupo kwenye chama Cha UDA,ambacho anategemea kukitumia katika kugombania Uraisi hapo mwakani august 2022.

Wanachama wengi,wabunge wanaomuunga mkono William Ruto,nao wamejitoa Jubilee na wapo UDA.
 
Mbona Marekani vyama ni viwili tu, mambo yako vizuri kuliko kuwa na utitiri wa vyama vingine havina hata hadhi ya kuitwa vyama vya siasa.
 
You should work hard you Kenyans

This is a dangerous movement and a good Plan to stop Poverty
 
Mbona Marekani vyama ni viwili tu, mambo yako vizuri kuliko kuwa na utitiri wa vyama vingine havina hata hadhi ya kuitwa vyama vya siasa.
Kanye West ana chama kinaitwa 'Birthday Party' na aligombea Urais uchaguzi uliopita.
 
Hiki chama kilianzishwa na Isaack Ruto,alipokuwa Gavana,tangu aliposhindwa kwenye uchaguzi,hiki chama kimefifia sana.

William Ruto ambaye kwa sasa ndio Deputy president,Alikuwa kwenye chama Cha Jubilee yeye na Raisi Uhuru,na ndio chama kilichowaingiza Madarakani.

Tangu wameshindwana,William Ruto yupo kwenye chama Cha UDA,ambacho anategemea kukitumia katika kugombania Uraisi hapo mwakani august 2022.

Wanachama wengi,wabunge wanaomuunga mkono William Ruto,nao wamejitoa Jubilee na wapo UDA.
So what about CCM?
 
Hicho chama cha CCM Kenya kipo toka zamani labda kama hujui siasa za kenya. Na muasisi wa chama hicho ni Isack Ruto.

Kusema CCM Kenya imeanzishwa juzi sio sawa.

Wanataka kujiunga na UDA chama ambacho kimeasisiwa na William Ruto kwenye uchaguzi mkuu 2022
Good, ula soma hiko kipeperushi chao kwa ndani then come back tuje tujadili why CCM!.
 
Back
Top Bottom