Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Mbona nyinyi mna chama kimoja tu na hatusemi?Mbona Marekani vyama ni viwili tu, mambo yako vizuri kuliko kuwa na utitiri wa vyama vingine havina hata hadhi ya kuitwa vyama vya siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nyinyi mna chama kimoja tu na hatusemi?Mbona Marekani vyama ni viwili tu, mambo yako vizuri kuliko kuwa na utitiri wa vyama vingine havina hata hadhi ya kuitwa vyama vya siasa.
Kipo toka mwaka gani ? Je ccm ya tz na hiyo ya kenya ipi ilitangulia ? Maana swali lilikuwa siyo muda wa chama bali kwanini ccmHicho chama cha CCM Kenya kipo toka zamani labda kama hujui siasa za kenya. Na muasisi wa chama hicho ni Isack Ruto.
Kusema CCM Kenya imeanzishwa juzi sio sawa.
Wanataka kujiunga na UDA chama ambacho kimeasisiwa na William Ruto kwenye uchaguzi mkuu 2022
Mashinani maana yake ni nini?Tuanzie hapo kwanza.
Wana vyama zaidi ya 2 isipokuwa hivyo viwili ndivyo vyenye nguvu.Mbona Marekani vyama ni viwili tu, mambo yako vizuri kuliko kuwa na utitiri wa vyama vingine havina hata hadhi ya kuitwa vyama vya siasa.
Marekani vyama vipo viwili? Marekani gani hiyo?Mbona Marekani vyama ni viwili tu, mambo yako vizuri kuliko kuwa na utitiri wa vyama vingine havina hata hadhi ya kuitwa vyama vya siasa.