Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Baada ya mwanamitindo Hamissa Mobetto kuachia wimbo wake uitwao madam hero nimejaribu kufuatilia kwenye redio station mbalimbali sijasikia hata moja inayoucheza wimbo huo.
Hii ni ishara mbaya sana kwa mwanadada huyu ni kama media zimemtenga najua wengine watasema labda hajapeleka wimbo wake kwenye redio station husika jambo ambalo kwangu siyo sababu ya msingi. Kuna wasanii Maarufu wengi ambao nyimbo zao hawazisambazi kwenye media zote lakini media husika still zinaplay nyimbo husika.
Media za bongo acheni dharau ohoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni ishara mbaya sana kwa mwanadada huyu ni kama media zimemtenga najua wengine watasema labda hajapeleka wimbo wake kwenye redio station husika jambo ambalo kwangu siyo sababu ya msingi. Kuna wasanii Maarufu wengi ambao nyimbo zao hawazisambazi kwenye media zote lakini media husika still zinaplay nyimbo husika.
Media za bongo acheni dharau ohoo
Sent using Jamii Forums mobile app