Kwanini wimbo wa Hamisa Mobetto hauchezwi kwenye redio station mbalimbali nchini?

Kwanini wimbo wa Hamisa Mobetto hauchezwi kwenye redio station mbalimbali nchini?

Mbona wimbo wake mzuri tu,unasikilizika unaeleweka ,mashairi katunga mtu anayejua na producer pia kamfanyia kazi yake vizur,labda upepo tu haujakaa sawa
 
Apeleke kwa hawara station wataicheza asubuhi mpaka kesho yake asubuhi nonstop

#utakula kiburi yako.
 
Tena usijaribu kuuweka hapa...

Kale ka mdomo kamekaa kama nguchiro unategemea sauti iweje...!??
 
Baada ya mwanamitindo Hamissa Mobetto kuachia wimbo wake uitwao madam hero nimejaribu kufuatilia kwenye redio station mbalimbali sijasikia hata moja inayoucheza wimbo huo.

Hii ni ishara mbaya sana kwa mwanadada huyu ni kama media zimemtenga najua wengine watasema labda hajapeleka wimbo wake kwenye redio station husika jambo ambalo kwangu siyo sababu ya msingi. Kuna wasanii Maarufu wengi ambao nyimbo zao hawazisambazi kwenye media zote lakini media husika still zinaplay nyimbo husika.
Media za bongo acheni dharau ohoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku nyimbo mpya zinatolewa kwa hiyo ni juhudi ya msanii ku promoti wimbo wake
 
Back
Top Bottom