Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
si kweli hili jambo acha uongoKuna wasanii Maarufu wengi ambao nyimbo zao hawazisambazi kwenye media zote lakini media husika still zinaplay nyimbo husika.
Media za bongo acheni dharau ohoo
Atakuwa ndio yeye mobetomkuu wewe ni meneja wa Hamisa,mbona kama umepanick zaidi ya mwenye wimbo??
Hahaha meneja tenamkuu wewe ni meneja wa Hamisa,mbona kama umepanick zaidi ya mwenye wimbo??
Hivi unafikiri diamond huwa nyimbo zake anazisambaza redio zote za bongo hadi kule mtwara? Na Chris brown analeta nyimbo zake clouds FM? au East Africa Redio? Hebu tuwe wakweli basisi kweli hili jambo acha uongo
Zamaladi kasema hadi yeye ayoke Wasafi ndipo ipigwe nyimbo ya Hamisa [emoji12] [emoji12]WASAFI wamemzimia microphone.
HahahaZamaladi kasema hadi yeye ayoke Wasafi ndipo ipigwe nyimbo ya Hamisa [emoji12] [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe mobeto nae mwanamuziki siku hizi!!!
Haaaa kahabaHuyo anajulikana ni kahaba, sasa anatumia sanaa kucoer up...km una T au redio yako timamu huwezi kumpa eataimu hata nkta.
kuna mtu kwa behind
kuna mtu kwa behind