Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!!
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.
1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.
Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.
2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O
Soma Pia:
Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.
1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.
Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.
2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O
Soma Pia:
- FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024
- FT: CAFCL | Yanga SC 6-0 Vital'O | (Agg: 10-0)Preliminary Stage 2nd Leg | Azam Complex | 24.08.2024
Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.