Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Soma Pia:
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
 
Tunakumbushana kidogo kwamba msimu uliopita mashabiki wa Simba waliomba usiku na mchana wasipangiwe Mamelodi na wakaomba Yanga ndio ipangiwe Mamelodi ili wapigwe nyingi. Wao wakamtaka Al Ahly ili safari yao iwe nyepesi. Mambo yalikuwa hivi
 
Tunakumbushana kidogo kwamba msimu uliopita mashabiki wa Simba waliomba usiku na mchana wasipangiwe Mamelodi na wakaomba Yanga ndio ipangiwe Mamelodi ili wapigwe nyingi. Wao wakamtaka Al Ahly ili safari yao iwe nyepesi. Mambo yalikuwa hiviView attachment 3100344
Sasa kati ya mamelody na Alhaly nani amechukua ubingwa..mamelody ni mbovu hajafika hata final
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Wangekuwa wabovu wasingeshiriki club bingwa wangebaki shirikisho huko.
 
Wangekuwa wabovu wasingeshiriki club bingwa wangebaki shirikisho huko.
Ligi kuu Tanzania inachezeshwa na waamuzi wanaoipa timu mbovu ushindi kwasababu ya bahasha,ujinga,ushabiki na chuki,gms amefadhili timu 7 zinazomkusanyia yanga point..ubingwa wa yanga ni wamagumashi sio kwa ubora..image yanga ameshafungwa na kagera,prison n.k ila waamuzi wakaamua kuibeba yanga ..ubingwa wa yanga asilimia 80 ni ya waamuzi sio wa yanga kama yanga.
 
haha! mnaosema yanga mbovu vipi mbona two times mmeshindwa kuifunga! 5 moja azam kachezea!,mamelod kama mlivyoona al ahly kama mlivyoshuhudia!.

muda mwengine hawa mashabiki wa simba sio wakubishana nao wakuwaacha tu, hersi anahela gani yakuhonga huko caf..😂
mpira ushabadirika,sio uchawi sio hongo kama hautajitupa ktk hali zote sahau kushinda!
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Tatizo la club ya sìmba ujuaji mwingi. .mnacheza soka kwa midomo
 
Tunakumbushana kidogo kwamba msimu uliopita mashabiki wa Simba waliomba usiku na mchana wasipangiwe Mamelodi na wakaomba Yanga ndio ipangiwe Mamelodi ili wapigwe nyingi. Wao wakamtaka Al Ahly ili safari yao iwe nyepesi. Mambo yalikuwa hiviView attachment 3100344

mbumbumbu ni majinga sana.. shirikisho round ya awali tu inawatoa jasho huku Yanga ilifika mpaka fainali na kushinda ugenini kabisa tena katika mechi ya fainali

hata Mamelodi waliemshangilia walikuja kumgeuka na kusema yanga tulipewa kibonde robo fainali

Kila timu ikicheza na yanga lazima ionekane kibonde.
 
Sasa kati ya mamelody na Alhaly nani amechukua ubingwa..mamelody ni mbovu hajafika hata final
Msimu ulioisha hakuna timu yoyote kwenye mashindano ya klabu bingwa iliyoweza kugusa nyavu za Al Ahly zaidi ya Yanga pekee. Ni Yanga pekee ndio iliyoweza kuharibu clean sheet ya Al Ahly timu zingine zote zimemshindwa. Chukua hiyo
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Hili swali nimejiulizaga mara nyingi mno.
 
haha! mnaosema yanga mbovu vipi mbona two times mmeshindwa kuifunga! 5 moja azam kachezea!,mamelod kama mlivyoona al ahly kama mlivyoshuhudia!.

muda mwengine hawa mashabiki wa simba sio wakubishana nao wakuwaacha tu, hersi anahela gani yakuhonga huko caf..😂
mpira ushabadirika,sio uchawi sio hongo kama hautajitupa ktk hali zote sahau kushinda!
Naunga mkono hoja
 
Mbumbu wamesahau walikua wanapangwa n a kina nyasa bullet ya Malawi.
Kitu usichikijua yanga wana Quality hii ndio sababu hata timu nzuri ikipangwa na yanga itabondwa then nyie makolo muone ni mbovu,

Hata kolo alikula chuma tano, na juzi Kati kwenye ngao ya jamii isingekua huruma ya mwamuzi kolo angekufa tena chuma nne

Kwenye hilo kombe la wajinga mnalishiriki records zinaonesha yanga kawapasua wengi ungenini, na hakupaki basi hata mchezo mmoja.
 
haha! mnaosema yanga mbovu vipi mbona two times mmeshindwa kuifunga! 5 moja azam kachezea!,mamelod kama mlivyoona al ahly kama mlivyoshuhudia!.

muda mwengine hawa mashabiki wa simba sio wakubishana nao wakuwaacha tu, hersi anahela gani yakuhonga huko caf..😂
mpira ushabadirika,sio uchawi sio hongo kama hautajitupa ktk hali zote sahau kushinda!
Ni uchawi wa kupitia milango isiyo rasmi.. baaasii hakuna kingine
 
Back
Top Bottom