Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

Huo ndo ukweli bana...hata kama mna kikosi ila na ushirikina mnao...😄😄
Mpira hauna ushirikina.

Mpira ungekuwa unaendeshwa kishirikina basi kusingekuwa na haja ya kuwaleta wachezaji na makocha kwa gharama kubwa , badala yake tungewekeza nguvu kununua walozi waliobobea watuletee ushindi.
 
Timu zao walizopangiwa nao mbovu mnooo
Ref hata msimu ulipita wale wasudan waliokuja na basi kutoka kwao....😇😇😇😪😪
Yanga wanamambo mbinu za kishamba sana ila zitakuja kawaambua muda sio mrefu na kuachwa uchi
 
Tunakumbushana kidogo kwamba msimu uliopita mashabiki wa Simba waliomba usiku na mchana wasipangiwe Mamelodi na wakaomba Yanga ndio ipangiwe Mamelodi ili wapigwe nyingi. Wao wakamtaka Al Ahly ili safari yao iwe nyepesi. Mambo yalikuwa hiviView attachment 3100344
Nimecheka sanaaaa! Watu mnamajibu yenu kwa wenye mada za kusadikika.
 
Unasumbuliwa na:

chuki

tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya
Kisha wewe ni:

chizi

mtu mwenye wazimu au mwenye akili kidogo

Tatizo lako akili yako imejaa kinyesi kwasababu unashabikia timu inayotumia rangi ya mavi mavi,sasa mshabiki wake hawezi kuwa na akili ..rangi ya njano mavi ya binadamu na kijani mavi ya ndege....sasa hapo utasema una akili wewe...ndio maana tabia zetu washabiki wengi wa yanga ni kimavi mavi na kichawi
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Achana na wakina Vital'O na hao CBE SA, Simba alikula kono la nyani na kwa viwango vya CAF ni wa 6. Tatizo makoro wengi hawajakubali kuwa Yanga gari limehsawaka kuelekea kwenye fainali za CAF CL hatimae kuleta kombe Bongo kwa mara ya kwanza.
 
nyie ndo mkakamatwanao kabisa..🤣 mpk mje kuelewa mtakauwa mshashika mkia hadi kwenye NBC.
Tumeshachoka kuwalewesha ule sio ulozi ilikua ni njia ya kupasha miili joto...ndo maana wao walisema kitendo kinachodhaniwa hwakusema direct kuwa tunaloga...
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Sasa kama Simba imeanzia raundi ya pili, halafu ikapangiwa na timu ambayo nchi yake imekumbwa na misukosuko ya kisiasa kwa miaka mingi! Na bado ikaishindwa kupata ushindi!

Ingekutana na timu inayotoka katika nchi yenye utulivu, si ingetolewa mapema kabisa!
 
Wahabeshi hawarogeki wala hauwezi kuwaombea dua mbaya ikafanikiwa. Kama hauniamini, subiri Jmosi utaniambia kitakachotokea
 
Sasa kama Simba imeanzia raundi ya pili, halafu ikapangiwa na timu ambayo nchi yake imekumbwa na misukosuko ya kisiasa kwa miaka mingi! Na bado ikaishindwa kupata ushindi!

Ingekutana na timu inayotoka katika nchi yenye utulivu, si ingetolewa mapema kabisa!
Kama kuwa na utulivu ni kigezo cha ubora, sisi tungekuwa tumeshinda World Cup 4 na AFCON 5, ila kufuzu kwenyewe tu ni mtihani.
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Mkuu unazungumzia Al-Ahly Tripoli waliofungwa na Biashara ya Musoma 2-0 ndio timu kali? Imeonekana kali sababu si wamecheza na Simba Vibonde...
 
Back
Top Bottom