mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
My friend
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake na mpira wapi na wapi.
Kwanza umeishia darasa la ngapi?
We mwenyewe ungezaliwa Ke ungezalishwa mapacha 10.Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.
Wanawake na mpira wapi na wapi.Ww inakuhusu nini....mbona kama unanionea wivu halafu hoja yako imechelewa sana ndo unaniona leo? nimeishia la 7 B...
Kati ya CBE SA aliyefungwa moja kwake na Simba aliyefungwa tano kwake yupi mbovu? Jibu unalo.Hapo vip!!
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.
1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.
Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.
2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.
Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Wewe hujui unaongea nini...yani kweli nibishane na ww kuhusu elimu yangu hunijui sikujui...mimi nakuzidi akili wewe mara elfu...hutaki sepa...😏Wanawake na mpira wapi na wapi.
Kumbe elimu yenyewe ya darasa la saba , ndio maana basi una upeo finyu.
Watu wanawekeza pesa kuanzia academy za mpira kwa watoto ,viwanja,utimamu wa akili na mwili kwa wachezaji na walimu wao, wewe unakuja kushadadia uchawi.
Rudi kwanza ukasome hata QT.
Huu muda unaobishana na wanaume kuhusu mpira bora urudi nyumbani ukamuandalie mumeo chakula Cha jioni.Wewe hujui unaongea nini...yani kweli nibishane na ww kuhusu elimu yangu hunijui sikujui...mimi nakuzidi akili wewe mara elfu...hutaki sepa...😏
By the way usinipangie cha kufanya au cha kushabikia...
Au unataka wote tuwe machawa..😇😇😇
Huu muda unaobishana na wanaume kuhusu mpira bora urudi nyumbani ukamuandalie mumeo chakula Cha jioni.
Pia rudi shule kwanza ukamalize elimu angalau ya sekondari kidogo utakuwa umepevuka kiakili
.
Huyu ndiye mumeo?
Aisee, 🤣 🤣 🤣Unasumbuliwa na:
chuki
tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya
Kisha wewe ni:
chizi
mtu mwenye wazimu au mwenye akili kidogo
Yani maneno yako hayawezi nitoa humu..labda niamue mwenyewe..mume atapikiwa atakula na atakula tena...wtt watakula...kazi nitafanya kwa ratiba zangu una lingine?Huu muda unaobishana na wanaume kuhusu mpira bora urudi nyumbani ukamuandalie mumeo chakula Cha jioni.
Pia rudi shule kwanza ukamalize elimu angalau ya sekondari kidogo utakuwa umepevuka kiakili
.
Ni kichwa cha chawa mmoja anaitwa Hance Mtanashati...Huyu ndiye mumeo?
Sisi ndiyo Simba SC AKATunakumbushana kidogo kwamba msimu uliopita mashabiki wa Simba waliomba usiku na mchana wasipangiwe Mamelodi na wakaomba Yanga ndio ipangiwe Mamelodi ili wapigwe nyingi. Wao wakamtaka Al Ahly ili safari yao iwe nyepesi. Mambo yalikuwa hiviView attachment 3100344
Jinsi Tatu Malogo Referee anavyokuzuum alivyoupiga mwingi kwa mbeleko ya SingidaF C 2-2 Makolokolo SC.Ligi kuu Tanzania inachezeshwa na waamuzi wanaoipa timu mbovu ushindi kwasababu ya bahasha,ujinga,ushabiki na chuki,gms amefadhili timu 7 zinazomkusanyia yanga point..ubingwa wa yanga ni wamagumashi sio kwa ubora..image yanga ameshafungwa na kagera,prison n.k ila waamuzi wakaamua kuibeba yanga ..ubingwa wa yanga asilimia 80 ni ya waamuzi sio wa yanga kama yanga.
Mwanamke na mpira wapi na wapi?Yani maneno yako hayawezi nitoa humu..labda niamue mwenyewe..mume atapikiwa atakula na atakula tena...wtt watakula...kazi nitafanya kwa ratiba zangu una lingine?
Mimi ni Simba ila tuache ujinga,hata hii Al Ahly ni timu ya kawaida.Timu iliyofungwa na biashara united bila shaka huwezi kuiita kubwa.Tunapaswa kushinda na hakuna namnaHapo vip!!
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.
1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.
Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.
2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.
Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Umepata wapi picha yake?Ni kichwa cha chawa mmoja anaitwa Hance Mtanashati...