Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
😄😄😄😄Mwanamke na mpira wapi na wapi?
Kwanza unajua hata bei ya jezi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄😄😄Mwanamke na mpira wapi na wapi?
Kwanza unajua hata bei ya jezi?
Wa pili? Utawezana?Umepata wapi picha yake?
Una wish aje kuwa mumeo?
Mwenye picha ya kibango cha 5-1 awake
Tupe mfano wa al ahly na wakongwe wengine kupangiwa vitimu kama zalan nkUnazungumzia kupangwa na Zalan au Unazungumzia kupangwa na timu zenye level ya Zalan? Uliza vizuri swali lako
Ni sawa kabisa na jinsi walivyopangiwa timu dhaifu ya Simba siku ile ya tarehe 5 November 2023.Hapo vip!!
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.
1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.
Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.
2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.
Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Ndio maana nilikwambia ukashabikie rede, Al Ahly alicheza na Saint George ya EthiopiaTupe mfano wa al ahly na wakongwe wengine kupangiwa vitimu kama zalan nk
😀😀 Wewe mwanasimba tuliaHapo vip!!
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.
1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.
Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.
2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.
Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Bumamuru ya Burundi vs MamelodiTupe mfano wa al ahly na wakongwe wengine kupangiwa vitimu kama zalan nk
Hawa jamaa Huwa siwaelewi hawapambani kujenga timu yao kila mara yanga yangambumbumbu ni majinga sana.. shirikisho round ya awali tu inawatoa jasho huku Yanga ilifika mpaka fainali na kushinda ugenini kabisa tena katika mechi ya fainali
hata Mamelodi waliemshangilia walikuja kumgeuka na kusema yanga tulipewa kibonde robo fainali
Kila timu ikicheza na yanga lazima ionekane kibonde.
Hakuna timu yenye udogo km ile zalanBumamuru ya Burundi vs Mamelodi
Bo Ranger ya Sierra Leone vs Belouizdad
Ni kawaida timu zenye rank kubwa kucheza dhidi ya timu zilizochini kwenye rank
Wivu tu.Hapo vip!!
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.
1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.
Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.
2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.
Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Kabisa. Mamelodi mwenyewe hatakaa asahauUsikute na Hao wabovu wanajuta kupangiwa na Yanga... Mpira bhana
Namtumia shem lake hizi pumba maana tukimwambia huna akili huwa hatuamini😡😡Hapo vip!!
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake
Udogo na ukubwa unatumia kipimo kipi kujua kama hii timu ndogo? Tuanzie hapo kwanzaHakuna timu yenye udogo km ile zalan