Phiri aliumizwa na Kagera sugar not Singida.Wanafanya hila mbaya sana. Utopolo wanatumia wachezaji wa Singida kuumiza wachezaji wa Simba. Msimu iliyopita walimuumiza Phiri. Juzi pia wakamdhuru Inonga.
Kwahiyo kuumizwa kwa Skudu nyie Simba ndio mmewatuma Azam?Wanafanya hila mbaya sana. Utopolo wanatumia wachezaji wa Singida kuumiza wachezaji wa Simba. Msimu iliyopita walimuumiza Phiri. Juzi pia wakamdhuru Inonga.
Hair ndio nin?Mdhamini waao ni mmoja yaani sportpesa na hair. Mengine jiandae na mechi ya kesho
huo ni mpango wa mazoezi kwa usimamizi wa tff kwakuwa tanga hakuna viwanjaWakati Ngao ya jamii inaanza Yanga Singida walikuwa kambi moja na kufanya mazoezi pamoja.
Hii ni match fixing kama zingine tu. Je, kwenye ligi wanapokutana lazima Singida waachie, ndo maana mechi ya Yanga na Singida lazima Yanga washinde.
Nakumbuka msimu uliopita Singida walifungwa na Yanga halafu wakapost, sisi tumefungwa na Yanga kwanini wengine waumie.
Msimu huu tusitegemee mechi ya ushindani kati ya hawa ndugu wa tumbo moja.
NyweleHair ndio nin?
Malalamiko mengi kama watoto wa kambo Yanga wapo Mountain usambara hotel, Singida wapo Sea view hotel muwe mnafatilia vitu kabla ya kupostWakati Ngao ya jamii inaanza Yanga Singida walikuwa kambi moja na kufanya mazoezi pamoja.
Hii ni match fixing kama zingine tu. Je, kwenye ligi wanapokutana lazima Singida waachie, ndo maana mechi ya Yanga na Singida lazima Yanga washinde.
Nakumbuka msimu uliopita Singida walifungwa na Yanga halafu wakapost, sisi tumefungwa na Yanga kwanini wengine waumie.
Msimu huu tusitegemee mechi ya ushindani kati ya hawa ndugu wa tumbo moja.
kwanini timu zilikubali, TFF inatumia ujinga was viongozi wa hizi timu kufanya wanavyopenda.huo ni mpango wa mazoezi kwa usimamizi wa tff kwakuwa tanga hakuna viwanja
Fwatilia ukweli maana hapa umejaza hisia tuKumbe ndio maana siku ya mechi ya Simba vs SFG Yanga walikuwa wanashangilia sana Simba ilipokuwa inashambuliwa.
Mechi ilivyoisha bila kufungana wakaungana Yanga na SFG kushangilia wakiamini Beno atawavusha kwenye penati kuliko Salim wakisahau Luis pia anatumiaga mguu wa kulia.
Baada ya matokeo Yanga ndio wameumia zaidi baada ya kugundua sasa watakutana ana kwa ana na dude la kutisha Simba sc
Kumbe ndivyo ulivyoona. Vipi wachezaji wa Simba waliokuwa uwanjani kuangalia mechi kati ya Yanga dhidi ya Azam, ilikuwaje baada ya Yanga kufunga goli wakainuka na kuondoka?Kumbe ndio maana siku ya mechi ya Simba vs SFG Yanga walikuwa wanashangilia sana Simba ilipokuwa inashambuliwa.
Mechi ilivyoisha bila kufungana wakaungana Yanga na SFG kushangilia wakiamini Beno atawavusha kwenye penati kuliko Salim wakisahau Luis pia anatumiaga mguu wa kulia.
Baada ya matokeo Yanga ndio wameumia zaidi baada ya kugundua sasa watakutana ana kwa ana na dude la kutisha Simba sc