Kwanini Yesu na Muhammad walipokufa waliacha vurugu? Nini uhalali wa utukufu na mantiki ya dini na matokeo ya vifo vyao?

Kwanini Yesu na Muhammad walipokufa waliacha vurugu? Nini uhalali wa utukufu na mantiki ya dini na matokeo ya vifo vyao?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Si lengo langu kukufuru au kuzodoa bali kutaka kujua. Ukiangalia namna walivyokufa au kilichotokea baada ya vifo vyao, unatia shaka uhalali wa dini za kimapokea. Yesu kifo cha kikatili cha kutundikwa na kufia msalabani

Wakati Muhammad, inadaiwa alikufa tokana na kupewa sumu

Ukiachana na vifo vya wawili hawa, walipokufa, waliacha vurugu na mauaji ya kikatili. Wanafunzi wa Yesu, kama kweli walikuwa wanafunzi wake, walikufa vifo vibaya kama vile kunyongwa na mengine mengi.

Wafuasi wa Muhammad walianza kuuana wakigombea madaraka. Je Mungu au tuseme miungu yao ilikuwa wapi kuacha haya yote yatokee?
 
We jamaa mtupu kweli

1. Muhammad (saw) hakufa kwa sumu

2. Hakukua na kugombania madaraka atleast kwa miaka kadhaa

3. Effect alioiacha Muhammad (saw) ndio hio inayojulikana kama Islamic Golden Age na base ya Sayansi tunayoiona sasa, Waisilamu wakasambaa na kupeleka Elimu Ulaya, Africa hadi China
 
Mke muisrael ndo chanzo cha hio sumu Mkuu
We jamaa mtupu kweli

1. Muhammad (saw) hakufa kwa sumu

2. Hakukua na kugombania madaraka atleast kwa miaka kadhaa

3. Effect alioiacha Muhammad (saw) ndio hio inayojulikana kama Islamic Golden Age na base ya Sayansi tunayoiona sasa, Waisilamu wakasambaa na kupeleka Elimu Ulaya, Africa hadi China
 
Back
Top Bottom