Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yondani ni muhuni and as you know wahuni si watu wazuri hata kidogo
Ndio.
Atakuwa huyu msuku...... maaa tu maana kashindwa kutofautisha Ikulu na Ikuru
Nefaland hotel..tajiri mwenye hiyo Hotel ni mnazi wa Jangwani Mkinga mmoja..jitekenye ucheke mwenyewe
Sorry wadau tulipata taarifa ya Samatta lakini Yondani hakuonekana wakati alicheza kwa kiwango kikubwa.
Kulikoni?
Laa! umeniongezea siku za kuishi!
Ila wengine wanazikuta mulumule ?Unazani mule wanaruhusu kuingia na Kete za Bangi, Yondani katumia akil sana..
[emoji847][emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinapita Airport sembuse Kwa Mkulu [emoji16][emoji16]Ila wengine wanazikuta mulumule ?