Kwanini Zanzibar hakuna watu walionyimwa dhamana kwa makosa ya uhujumu uchumi?

Kwanini Zanzibar hakuna watu walionyimwa dhamana kwa makosa ya uhujumu uchumi?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Kesi nyingi za uhujumu uchumi Tanzania utasikia uchunguzi haujakamilika, na hii inachukua miaka kadhaa. Ila katika mazingira ya uchunguzi kuendelea mtu yuleyule unasikia ameshauriana na DPP au Mahakama na ameeelekzwa kulipa kiasi flani Cha fedha.

Je, ukokotoaji wa kiasi hicho kinacholipwa unafanywa na Nani?

Hakuna uwezekano uchunguzi ungekamilika zingekuwa fedha nyingi zaidi?

Kwanini hakuna uchunguzi zaidi unaoendelea baada ya mazungumzo?

Wachunguzi awaoni kwamba walipaswa kuendelea na uchunguzi hata baada majadiliano?

Kwanini tunaamini uchunguzi wa uhujumu uchumi unapaswa kutokamilika ila watuhumiwa hawastahili dhamana?

Je, Kama wanachodaiwa ni fedha, kwanini wasipewe dhamana wakazitafute hizo fedha? Maana dhamana inakatazwa kwa wale watu ambao maisha yao yanaweza kuwa hatarini uraiani lakini kumweka mtu ndani kisa unataka fedha sioni kama ina tija.

Tanzania ni moja, kwanini huu utaratibu Zanzibar haupo?
 
Kesi nyingi za uhujumu uchumi Tanzania utasikia uchunguzi haujakamilika, na hii inachukua miaka kadhaa. Ila katika mazingira ya uchunguzi kuendelea mtu yuleyule unasikia ameshauriana na DPP au Mahakama na ameeelekzwa kulipa kiasi flani Cha fedha...
Zanzibar katiba yao ni tofauti na ya Tanganyika.

Kule kuna haki za Binadamu sio kama Sisi.
 
Mimi ni Mkristo ila nakiri bila shaka Uislam Zanzibar umewapa ustaarabu mkubwa sana. Kwanza wana hofu ya kumdhulumu mtu kwasababu wanaamini katika haki (Uislam). Pia Zanzibar hata masuala ya uchaguzi kama sio hawa walafi na wabakaji wa mambo wa huku Bara ungekuta wanasiasa kama ya Kenya. Mshindi anapewa ila kwasababu ya Tanganyika ndomaana unaona baadhi ya mambo hayaendi vizuri. Namalizia hivyo.
 
Mimi ni Mkristo ila nakiri bila shaka Uislam Zanzibar umewapa ustaarabu mkubwa sana. Kwanza wana hofu ya kumdhulumu mtu kwasababu wanaamini katika haki (Uislam). Pia Zanzibar hata masuala ya uchaguzi kama sio hawa walafi na wabakaji wa mambo wa huku Bara ungekuta wanasiasa kama ya Kenya. Mshindi anapewa ila kwasababu ya Tanganyika ndomaana unaona baadhi ya mambo hayaendi vizuri. Namalizia hivyo.
Sipendi udini lakini kwa dhati kabisa tukiangalia kwa mapana sana Waislam wa Tanzania ( ondoa Bakwata ) ni bora na wana utu kuliko wakristo
 
Sipendi udini lakini kwa dhati kabisa tukiangalia kwa mapana sana Waislam wa Tanzania ( ondoa Bakwata ) ni bora na wana utu kuliko wakristo
Hata nchi zinazoongozwa kiislamu hazina dhuluma, huwezi kuta mtawala anamdhulumu mtawaliwa.
Hata ukifanya research madikteta wengi ni Wakristo sababu ya kulega lega kwa viongozi wa dini wa kiafrica wa Kikristo baada ya kuachiwa dini na weupe.
 
Zanzibar tokea zamani wametupita na ukiangalia kiushahidi bado wanayo Zanzibar yao na wanajitambua kihivyo kuliko kitanzania
Zanzibar kwenye vyombo vya sheria hakuna haki yani Mara mia huku bara Kuna haki kwenye mahakama zetu bara una weza ukafungua kesi ukapata haki kuliko Zanzibar.
 
Kuna kuru kinaitwa muhali. Ndivyo Rais alivyosema. Kila mtu ni jamaa kwa fulani
 
Zanzibar katiba yao ni tofauti na ya Tanganyika.

Kule kuna haki za Binadamu sio kama Sisi.
Basi hakuna sehem hakuna haki za binadam kama Zanzibar uku watoto wana bakwa na kulawitiwa wanawake wananyanyasika sema hawana sehem yakusemea! huku Zanzibar hakuna mashirika ya kutetea haki za watoto na wanawake uku kesi zao nying zina dhamana tofaut na bara
 
Back
Top Bottom