Kwanini Zitto Kabwe anakwepa kuwagusa vigogo waliotajwa ripoti ya CAG

Kwanini Zitto Kabwe anakwepa kuwagusa vigogo waliotajwa ripoti ya CAG

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?

Nishati kuna upotevu wa kiasi gani??
 
Unamlipa kuichambua hiyo ripoti??
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
Hawezi kukosoa Serikali ya dini moja
 
Sasa hela ya vyura si walisaini mwaka 2020 je hawamjui waziri aliekuwepo mwaka huo na Mkurugenzi aliekuwepo mwaka huo??
Na Rais aliekuwepo mwaka huo??

January anaingiaje??

Wewe jamaa una mahaba na January hadi sio poa. Kwa hiyo tusubuli hadi lini ndo hatua zichukuliwe Ustadhi the boss?
 
Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.
Huyu waliingizana choo cha kike na mwenzake Niguse Ninuke😆😂🤣
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
Ni unafiki
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
dalali hawezi fungua domo lake kamwe.
 
Back
Top Bottom