Kwanini Zitto Kabwe anakwepa kuwagusa vigogo waliotajwa ripoti ya CAG

Kwanini Zitto Kabwe anakwepa kuwagusa vigogo waliotajwa ripoti ya CAG

Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
Zitto ni yuleyule
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
Unamwamini Zitto?!
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
Kipara ni rafiki na mfadhiri wake
 
Zitto ni mwanasiasa anayeongoza kwa unafiki Tanzania, hii ndio sifa yake kuu simshangai kwa hilo.
 
Sasa hela ya vyura si walisaini mwaka 2020 je hawamjui waziri aliekuwepo mwaka huo na Mkurugenzi aliekuwepo mwaka huo??
Na Rais aliekuwepo mwaka huo??

January anaingiaje??
You are very insecure na January...
its written all over you...and too bad u cant help it...ht ambako ahajatajwa unajikuta tu difensive mode yako ime kick in...pole sana mkuu
 
Sasa hela ya vyura si walisaini mwaka 2020 je hawamjui waziri aliekuwepo mwaka huo na Mkurugenzi aliekuwepo mwaka huo??
Na Rais aliekuwepo mwaka huo??

January anaingiaje??
Bil 350 zilizolipwa Symbion kununua mitambo chakavu bila ridhaa ya Bunge anahusika moja Kwa moja
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
JamiiForums-2081544789.jpg
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
Hizi mambo zilishnda zina trend kule tweeter nw zipo huku lengo ni nn?
 
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.

Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.

Au ndio zile tetesi za udini?
.
 
Back
Top Bottom