wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
huyo zitto kabwe impact yake ni ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ni yuleyuleZitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.
Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.
Au ndio zile tetesi za udini?
Unamwamini Zitto?!Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.
Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.
Au ndio zile tetesi za udini?
Kipara ni rafiki na mfadhiri wakeZitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.
Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.
Au ndio zile tetesi za udini?
You are very insecure na January...Sasa hela ya vyura si walisaini mwaka 2020 je hawamjui waziri aliekuwepo mwaka huo na Mkurugenzi aliekuwepo mwaka huo??
Na Rais aliekuwepo mwaka huo??
January anaingiaje??
Bil 350 zilizolipwa Symbion kununua mitambo chakavu bila ridhaa ya Bunge anahusika moja Kwa mojaSasa hela ya vyura si walisaini mwaka 2020 je hawamjui waziri aliekuwepo mwaka huo na Mkurugenzi aliekuwepo mwaka huo??
Na Rais aliekuwepo mwaka huo??
January anaingiaje??
Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.
Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.
Au ndio zile tetesi za udini?
Kuna ile Bilioni 80 ambayo ilitaka kupigwa TAKUKURU wakazuia!IPTL bilioni 400, TAN OIL, REA...nenda kasome ripoti acha uvivu
Anataka Zitto aropoke,Kipara amnyang'anye jengo la ofisi alilowafadhiri ACT.Kipara ni rafiki na mfadhiri wake
Utatu mchafu!
Hizi mambo zilishnda zina trend kule tweeter nw zipo huku lengo ni nn?Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.
Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.
Au ndio zile tetesi za udini?
Shetani ni nani kwako? Mpenda haki au magufuliZito Kabwe ni wakala wa shetani
hahahaChezea kubazi wewe !
.Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.
Ripoti ya CAG imeibua madudu mengi na ya kutisha kwenye wizara hizo lakini jambo la kushangaza Zitto ameshindwa kuchambua ripoti hiyo na kukimbilia kwenye mambo madogo madogo.
Au ndio zile tetesi za udini?