THUBUTU YAO 2020, WALIBAHATISHA TU KUTOKANA NA RICHMOND YA LOWASA, AMBAYO ILIZAA IPTL HADI ESCROW ZA WENGINEO.Naomba kueleweshwa kwann hiki chama kikuu cha upinzani nchini tz kimeonekana kushinda zaidi katika majimbo na majiji makubwa kama dar , arusha , Kilimanjaro, mbeya mjini , mwanza , bunda , tarime, iringa na kwingineko kuliko vijijini? Au kuna relation na ule utafiti wa twaeeza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Wapumbavu wengi.Naomba kueleweshwa kwann hiki chama kikuu cha upinzani nchini tz kimeonekana kushinda zaidi katika majimbo na majiji makubwa kama dar , arusha , Kilimanjaro, mbeya mjini , mwanza , bunda , tarime, iringa na kwingineko kuliko vijijini? Au kuna relation na ule utafiti wa twaeeza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rubbish in TL voice.THUBUTU YAO 2020, WALIBAHATISHA TU KUTOKANA NA RICHMOND YA LOWASA, AMBAYO ILIZAA IPTL HADI ESCROW ZA WENGINEO.
SASA HIYO LOOPHOLE HAIPO TENA.
MWANZA IONDOE KWENYE ORODHA YAKO HAPO.
Sent using Jamii Forums mobile app
THUBUTU YAO 2020, WALIBAHATISHA TU KUTOKANA NA RICHMOND YA LOWASA, AMBAYO ILIZAA IPTL HADI ESCROW ZA WENGINEO.
SASA HIYO LOOPHOLE HAIPO TENA.
MWANZA IONDOE KWENYE ORODHA YAKO HAPO.
Sent using Jamii Forums mobile app
THUBUTU YAO 2020, WALIBAHATISHA TU KUTOKANA NA RICHMOND YA LOWASA, AMBAYO ILIZAA IPTL HADI ESCROW ZA WENGINEO.
SASA HIYO LOOPHOLE HAIPO TENA.
MWANZA IONDOE KWENYE ORODHA YAKO HAPO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Idadi kubwa ya Wapenda vya dezo dezo ipo Mjini !
Naomba kueleweshwa kwann hiki chama kikuu cha upinzani nchini tz kimeonekana kushinda zaidi katika majimbo na majiji makubwa kama dar , arusha , Kilimanjaro, mbeya mjini , mwanza , bunda , tarime, iringa na kwingineko kuliko vijijini? Au kuna relation na ule utafiti wa twaeeza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi nimesikia watu wanasema hivyo, ngoja wakija wajuzi watatujuza.
Wajanja wote wapo mjini
sent from my Makinikia 7 using jamiiForums mobile app
Tangu lini watu wa vijijini waka-reason kwa kiwango cha dhahabu? Wao huishia ku-reason kwa kiwango cha makinikia.
Rubbish in TL voice.
Ukweli ni kwamba mijini Ndio wana experience matukio mengi,then wa mijini wanaelewa nini kinaendelea nchini,wa mijini Hata wakipewa khanga na ma t shirt na kofia hazitatui changamoto zao,lakini pia akili inafunguka huko mijini ambako wanakutana na watu kutoka sehemu mbalimbali na Ku make up their mind.
Cc BAK
Uko kila mtu anavaa kwa pesa yake sio kusubiri sare pia uko chumvi inapatikana kirahisi sana
Wasomi Na Watu Wenye Uelewa Mkubwa Huishi Town. Mjini Utampa Mtu Kanga, Flana Au Kofia Ya CCM Af Akupe Kura? Kjjn Akipewa Elf10 Ni Nyingi Na Hzo Nguo Kwao Ni Zakutokea Yaani. Kashfa Hyo Ilimkuta Mwakalebela Iringa Town Raia Wakamchoma Akaishia Mikonon Mwa Dola. Km Kuna Miji Walishnda Bac Ni Ya Mikoa Yenye Mwamko Mdogo Kielimu Au Kuna Rafu Ilichezwa Km Jimbo La Mbagala Au Walimnunua Mgombea. Mambo Ndo Yapo Hvo.
Njaa mbaya na polepole itamuuaSasa hiyo loophole haipo tena. MACCM ni chama kisafi sana kimewaondoa wahuni, mafisadi, wezi, watoa rushwa na wapokea rushwa na majangili. Kama ndiyo hivyo basi 2020 hakuna haja tena ya kuhofia uchaguzi huru na wa haki kupitia katiba ya rasimu ya warioba na tume huru ya uchaguzi halafu tuone Watanzania watafanya maamuzi yepi kuhusu chama ambacho wanataka kiongoze nchi yetu pale Ikulu na Bungeni. Na hata Pole pole ukweli anaujua lakini njaa mbaya sana ni lazima ajibaraguze ili aweze kwenda choo.
CC: Maserati
Njaa mbaya na polepole itamuua
Naomba kueleweshwa kwann hiki chama kikuu cha upinzani nchini tz kimeonekana kushinda zaidi katika majimbo na majiji makubwa kama dar , arusha , Kilimanjaro, mbeya mjini , mwanza , bunda , tarime, iringa na kwingineko kuliko vijijini? Au kuna relation na ule utafiti wa twaeeza?
Sent using Jamii Forums mobile app