Tetesi: Kwann chadema kinashinda zaidi majimbo ya mjini?

Tetesi: Kwann chadema kinashinda zaidi majimbo ya mjini?

Kwa mfano Mimi leo nilimtembelea babu yangu kijijini katika kupiga stori akaniambia babu naona huyu Magufuli anatufaa sana nikamwambia kwanini? Akasema amekomesha rushwa na ufisadi. Basi nikamwambia sawa baada ya muda ndugu yangu mmoja akamuwekea ile clip ya Tundu Lissu ya juzi .Mzee akaniambia huyu mtu ni nani? Nikamwambia huyu ni upinzani chadema. Aisee huwezi amini mzee anataka kadi ya chadema.
Kwahiyo nimegundua kuwa wazee wengi na watu wa vinijini wana lack exposure ya kujua uhalisia wa mambo.
 
Kuliko na illiterates wengi ndiko kwenye mtaji wa ma CCM

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia mjini ni chuo kikuu, ukifika tu unatunukiwa na Bashite kwa mamlaka aliyonayo degree ya political science.

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Labda hujaweka hoja yako vizuri. Kwanza ungeweka idadi ya miji yote Tz (kuliko kutaja majimbo unayohisi yapo chini ya chama fulani) kwa maana ya makao makuu ya wilaya na mikoa hapo utabaini swali lako ni Invalid. Kuchagua haijalishi mjini au kijijini bali kukubalika kwa mtu na sera zake kwa wakati huo. Kigoma ni miongoni mwa mikoa ya mwanzo nchini kuupokea vema upinzani lakini leo ni majimbo mawili tu yapo upinzani kati ya 7. Hapo utaona kuwa siasa sio kitu constant na kuhisi kuwa wakichagua hivi ni wajinga au vile ni werevu.

Ni ujinga kuwaita watu wajinga eti kisa tu wapo kijijini ilhali yawezekana ujinga wako ndio umekufanya kukaa mjini.
Fikiri Kasulu huko vijijini kuna mbunge wa upinzani lakini Morogoro Mjini, Dodoma Mjini, Singida Mjini, Mwanza jiji, na manispaa nyingi tu zipo chini ya chama tawala.

Uwezo wa ku-reason wa watu unaenda unapungua kwa kasi sana

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Wasomi wengi wapo mijin vijijin wengi ni ma zwazwaa..japo sio vijiji vyote ukiona hata kijijin ni pinzani angalia maendeleo
 
Nadhani ni suala la kujitambua na uelewa. Wasomi wengi na wanaofanya uamuzi baada ya uchambuzi wako mijini.... Vijijini wengi wanapiga kura kwa mazoea tu na kukariri!!
 
Vijijini watu huambiwa wasipoipigia sisiemu kura Afisa Mtendaji atawakamata. Basi, wale ndugu huogopa sana kukamatwa na mgambo wa kijiji. Hahahahaaa!
 
Nasikia mjini ni chuo kikuu, ukifika tu unatunukiwa na Bashite kwa mamlaka aliyonayo degree ya political science.

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app

Bashite zero halafu atatunukuje mtu , akatunuku zero wenzake kwanza
 
Sifa ya watu wa kijijini
1. Wengi hawajasoma(WAJINGA)
2. Wengi maskini
3. Wengi hupitwa na matukio
4. Wengi wazee
5. Ni rahisi kufuata upepo (kutongozwa na wanasiasa waongo kwa propaganda)
NB: NAMBA MOJA NDO MTAJI WA CHAMA TAWALA NA NDYO MANA HAWANA MPANGO WA KUBORESHA ELIMU..

Bila Kusahahu unafiki.
 
Back
Top Bottom