Kwann wachambuzi wa mchingo hawamuulizii Kambole au kuhoji uwezo wa Joyce na badala yake wanamjadili Dejan tu

Tufanye Yanga inawachezaji wabovu Simba ipo vizuri ufurahi
 
Nimejibu kutokana na mtazamo wa mleta mada.

Sio kila sajili zinatakiwa zianze moja moja kwenye kikosi,wengine wanahitaji muda ku prove na kuzoeana na watu waliowakuta,sasa Yanga kashacheza mechi 2 tu ila watu wanataka waone outputs za new transfers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…