Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mpaka sasa wachezaji wa Simba, Dejan, Phiri, Okwa na Okrah wamefunga mabao katika mechi mbalimbali za Simba, hatujaona wachezaji kama Aziz Ki, Kambole nk waliosajiliwa kwa mahela mengi wakifunga hata goli la offside, nimekuwa nikifuatilia mitandaoni Dejan anajadiliwa mitaani, anajadiliwa mitandaoni, anajadiliwa majumbani, anajadiliwa baa, anajadiliwa vijiweni, anajadiliwa makazini, anajadiliwa stendi, wapo wanaomjadili kwa uzuri na wapo wanaomjadili kwa ubaya, lakn sisikii akijadiliwa Lazaro Kambole.