Kwann wanaume wengi huwa hivi?

wa ziada same as spea tairi na huwezi kumuweka mchezaji subb bila ya kumfanyia majaribio ati!
 
Swali lako rahisi jibu wanalo waislamu kwa wao wameruhusiwa kuoa wanawake hadi 4,Nazaidi NILHAM RASHID anaweza akakupa msaada!
 
Mmezidi kuwasema wanaume na wanawake wanakuwa na mwanamme mmoja kabla ya ndoa?/

Gender balance aisee acheni kuwaonea wanaume kila siku ha ha ha ha

DA ona hapa chini!

The Following 2 Users Say Thank You to Dena Amsi For This Useful Post:

Elia (Today), Fugwe (Today)​
 
Mungu alivyotuumba tupo tofauti kwenye matamanio, mwanaume anavutiwa na mwanamke kwa kumwangalia, mwanamke anavutiwa na mwanaume kwa mguso au social status, hapa kuna maelezo mengi sana ila tusiende kwenye details. Mwanaume akimuona mwanamke mzuri lazima ataaanza kumtamani(hapa kila mtu ana utashi wake, wengine wavumilivu, wengine kiwango cha uvumilivu ni zero). Kuna wanawake wanavutiwa na wanaume watanashati lakini hili halita ganda kwenye akili yake kwa muda mrefu, kwa sababu mwanaume hasahau ile picha ya mwanamke mzuri kwa haraka wengine hudiriki hata kumpigia "puchu" nk, nk. Ni suala la utashi tu linatakiwa katika haya mambo kwa sababu sisi sio wanyama.
 
Unajua VIKOJOLEO bwana vinatofautiana vingne vkubwa,vdogo,vnamaji,vkavu,vrefu,vnafangas,vinanukia maji ya mchele na kadha wa kadha.Jamani nimekosea njia ngoja niludi kwa sred yangu ntarudi kuchek matokeo.wanaume vidume au magumegume?yote ni ubatili
 
mh tutakoma kwaiyo huwa tunapangwa kama mabehewa ya treni
 
  1. Labda tuwaulize wafugaji kwa nini katika kundi la mfano ng'ombe 200 hata wakizaliwa majike 50 na madume 70 waweza kuta madume 69 wamehasiwa na kuachwa mmoja tu kwa ajili ya kuwazalisha hao ng'ombe 200+50=250......! Huenda wakatupatia majibu sawia....!
  2. Au labda tujiulize kwa nini kila uendako idadi ya wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume? Isipokuwa vyuoni/mashuleni/maofisini.....! Lakini ukienda kanisani, sokoni na kila kijiji, wanawake ni wengi kuliko wanaume.....! Mtoto wa kike hukomaa katika swala la mapenzi kuliko mtoto wa kiume....! Sasa, je, katika ratio ya 1/1 itawezekana? Au nio dhahiri kuwa wanawake wengine watakosa pa kwenda....! Na je, wao wangeenda kwa nani? Acha uchoyo....! Jaribu kushare na mwenzio....!
 
Umejaribu kuyauliza majogoo hapo mtaani kwenu?

Hakuna anayeweza kupingana na kitu nature!

Umeonae? Hiyo ndiyo tabia yetu wanaume. Hamna jinsi, mnalazimika kuikubali.

Sawa eh mama?

Kwanini niwe na mwanamke mmoja?? Ukiona waliokaa na mmoja wanaogopa ukimwi. Hata hivyo, hatunao wengi ila huwa tunaonja tu hatusahau HOME hata siku moja. Hiyo mwaionaje????

wa ziada same as spea tairi na huwezi kumuweka mchezaji subb bila ya kumfanyia majaribio ati!





eti eee
 
Unajua VIKOJOLEO bwana vinatofautiana vingne vkubwa,vdogo,vnamaji,vkavu,vrefu,vnafangas,vinanukia maji ya mchele na kadha wa kadha.Jamani nimekosea njia ngoja niludi kwa sred yangu ntarudi kuchek matokeo.wanaume vidume au magumegume?yote ni ubatili

Kwani toka uanze kukagua hivyo vikojoleo hujawahi kupata kinachokuridhisha ukatulia?
 
Unajua VIKOJOLEO bwana vinatofautiana vingne vkubwa,vdogo,vnamaji,vkavu,vrefu,vnafangas,vinanukia maji ya mchele na kadha wa kadha.Jamani nimekosea njia ngoja niludi kwa sred yangu ntarudi kuchek matokeo.wanaume vidume au magumegume?yote ni ubatili

Kokudo Am I dreaming or what??? is you writen this??? I can't and never believe this. Ha ha ha ha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…