Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki yangu shida yako wewe nimegundua kwamba huna elimu kabisa inayo husiana na dini, huenda wewe umesilimishwa dini na mwanamkeMimi pia nikitaka naweza sema hiyo kumbukumbu la torati ni maneno ya wazee wa kifarisayo au wazee wa kiyahudi ili twende sawa au vipi?! Wewe una uwezo gani wa kuthibitisha kuwa biblia ,agano la kale na agano jipya siyo maneno ambayo watu walikaa na kutunga na kudanganya kuwa ni maneno ya Mungu, wewe ulikuwepo wakati biblia inaandikwa au unamjua nani aliandika biblia?! Unaanzaje kuamini kuwa kumbukumbu la torati ni maneno ya Mungu wakati hata humjui alieliandika?! Je unajua kuwa Kuna tafauti ya torati aliyopewa Musa na kumbukumbu la torati lililoandikwa na mafarisayo?!
Hoja ya kusema Quran ni maneno ya wazee wa kiarabu ni hoja ya kipumbavu na nikiamua naweza kukupotezea au nikakutafutia majibu ya kipumbavu yanayoendana na hoja za kipumbavu unazokuja nazo!.
Quran ni maneno ya Allaah aliyoyetemshiwa Mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم.Sasa sisi katika biblia takatifu tumezuiwa kutukana watu
Tumeagizwa upendo
Mimi sijasema kama Quran ni maneno ya waarabu ila nimekuomba niletee maneno ya MWENYEZI MUNGU juu ya utume wa Muhammad na una bii wa daud
Mbona simple sana
Ila ukitaka kunitukana nitukane tena lakini mimi sitakaa nikutukane
Maneno yaliyomo kwenye Quran yote ni ya Allaah !Rafiki yangu shida yako wewe nimegundua kwamba huna elimu kabisa inayo husiana na dini, huenda wewe umesilimishwa dini na mwanamke
Katika mandiko matakatifu biblia na Quran maneno yote ambayo yamo humo ndan siyo ya MUNGU,
Maneno mengine ni ya shetani, mengine ya wayahudi , mengine ya waarabu tu
Mfano ni shetani kuwadanya Adam na hawa, yale si maneno ya MWENYEZI MUNGU bali ni ya shetani
Shida ya waislam wa TANZANIA hamna kabisa elimu ya dini yenu lakini kwa ubishi hamjambo
Amina Mtumishi.Mlango 58
Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
2 Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao, hutaka kwangu amri za haki; hufurahi kumkaribia Mungu.
3 Husema, Mbona tumefunga, lakini huoni? Mbona tumejitaabisha nafsi zetu, lakini huangalii? Fahamuni, siku ya kufunga kwenu mnatafuta anasa zenu wenyewe, na kuwalemea wote watendao kazi kwenu.
4 Tazama, ninyi mwafunga mpate kushindana na kugombana, na kupiga kwa ngumi ya uovu. Hamfungi siku hii ya leo hata kuisikizisha sauti yenu juu.
5 Je! Kufunga namna hii ni saumu niliyoichagua mimi? Je! Ni siku ya mtu kujitaabisha nafsi yake? Ni kuinama kichwa kama unyasi, na kutanda nguo za magunia na majivu chini yake? Je! Utasema ni siku ya kufunga, na ya kukubaliwa na Bwana?
6 Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?
7 Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
8 Ndipo nuru yako itakapopambazuka kama asubuhi, na afya yako itatokea mara; na haki yako itakutangulia; utukufu wa Bwana utakufuata nyuma ukulinde.
9 Ndipo utaita, na Bwana ataitika; utalia, naye atasema, Mimi hapa. Kama ukiiondoa nira; isiwepo kati yako, wala kunyosha kidole, wala kunena maovu;
10 na kama ukimkunjulia mtu mwenye njaa nafsi yako, na kuishibisha nafsi iliyoteswa; ndipo nuru yako itakapopambazuka gizani; na kiwi chako kitakuwa kama adhuhuri.
11 Naye Bwana atakuongoza daima, ataishibisha nafsi yako mahali pasipokuwa na maji, na kuitia nguvu mifupa yako; nawe utakuwa kama bustani iliyotiwa maji, na kama chemchemi ambayo maji yake hayapungui.
12 Na watu wako watapajenga mahali palipokuwa ukiwa; utaiinua misingi ya vizazi vingi; nawe utaitwa, Mwenye kutengeneza mahali palipobomoka; na, Mwenye kurejeza njia za kukalia.
Bro kuna shida gani kwani?hata ukijibiwa hautaridhika na jibu kwa sababu siyo kitu unachokiamini utazusha mengine na mengine mwisho muanze kuvunjiana heshima.Pia bwana Beira nimekuuliza , Yesu kulingana na biblia alifunga siku 40 usiku na mchana.
Nyinyi andiko la kufunga mchana na kula usiku mumefundishwa na nani?!
Quran ni maneno ya Allah aliyoteremshiwa MuhammadQuran ni maneno ya Allaah aliyoyetemshiwa Mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم.
Nimekuletea maneno ya Allaah akieleza kuwa Muhammad ni mtume wake wewe ukasema nimeleta maneno ya wazee wa kiarabu:.
Sasa nakuletea tena Aya 29 ya suuratul fathi na ukirudia kuleta hoja ya kipumbavu Mimi pia ninayo majibu ya kipumbavu yatakayoendana na hoja zako:
Kuhusu utume wa Nabii Muhammad Allaah anasema:
Quran suratu Alfat hu Aya ya 29.
{ مُّحَمَّدٞ رَّسُولُ ٱللَّهِۚ وَٱلَّذِينَ مَعَهُۥٓ أَشِدَّآءُ عَلَى ٱلۡكُفَّارِ
رُحَمَآءُ بَيۡنَهُمۡۖ تَرَىٰهُمۡ رُكَّعٗا سُجَّدٗا يَبۡتَغُونَ فَضۡلٗا مِّنَ ٱللَّهِ وَرِضۡوَٰنٗاۖ سِيمَاهُمۡ فِي وُجُوهِهِم مِّنۡ أَثَرِ ٱلسُّجُودِۚ ذَٰلِكَ مَثَلُهُمۡ فِي ٱلتَّوۡرَىٰةِۚ وَمَثَلُهُمۡ فِي ٱلۡإِنجِيلِ كَزَرۡعٍ أَخۡرَجَ شَطۡـَٔهُۥ فَـَٔازَرَهُۥ فَٱسۡتَغۡلَظَ فَٱسۡتَوَىٰ عَلَىٰ سُوقِهِۦ يُعۡجِبُ ٱلزُّرَّاعَ لِيَغِيظَ بِهِمُ ٱلۡكُفَّارَۗ وَعَدَ ٱللَّهُ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ مِنۡهُم مَّغۡفِرَةٗ وَأَجۡرًا عَظِيمَۢا }
Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha kwa ajili yao makafiri. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio amini na wakatenda mema katika wao msamaha na ujira mkubwa".
Suuratul Alfat hu Aya ya
8
"
{ إِنَّآ أَرۡسَلۡنَٰكَ شَٰهِدٗا وَمُبَشِّرٗا وَنَذِيرٗا }
Hakika tumekutuma wewe (Muhammad ) uwe Shahidi, na Mbashiri, na Mwonyaji",
YESU KRISTO mwana wa MUNGU aliye haiPia bwana Beira nimekuuliza , Yesu kulingana na biblia alifunga siku 40 usiku na mchana.
Nyinyi andiko la kufunga mchana na kula usiku mumefundishwa na nani?!
Acha kudandia gari ambalo hujui linatoka wapi na linaelekea wapi !, kama hujui mazungumzo yameanzia wapi kaa kimya!Bro kuna shida gani kwani?hata ukijibiwa hautaridhika na jibu kwa sababu siyo kitu unachokiamini utazusha mengine na mengine mwisho muanze kuvunjiana heshima.
Hivi hata kwa akili za kawaida wewe unadhani kuna mtu dunia hii anaweza kufunga kama alivyofanya Yesu siku 40?wewe una imani yako sisi tuna imani yetu acha basi tufanye yanayotuhusu wewe kafanye yanayokuhusu kwenye imani yako!
Maswali yako ni mazuri sana rafiki yangu maana ni ya kibiblia kabisaYesu alifunga siku 40 usiku na mchana! Nyie hilo andiko linalowaruhusu kufungua saa 12 jioni mumepata wapi?!
Mbona wewe mimi nikikuuliza maswali hujibu unakimbilia kunitukana tuAcha kudandia gari ambalo hujui linatoka wapi na linaelekea wapi !, kama hujui mazungumzo yameanzia wapi kaa kimya!
Nipo kwenye mjadala wa muda mrefu na huyu anayejiita Beira boy!
Ni wakristo walioanza kutuchokoza sisi waislamu kuwa eti KWAKUWA SISI WAISLAMU TUNAFUTURU JIONI HALAFU TUNAAMKA SAA 11 KULA DAKU SISI HATUFUNGI ILA TUNABADILI RATIBA YA KULA!
Huu ni ukosoaji dhidi ya ibada yetu sasa kuna tatizo gani kuelezea kuwa funga yenu ya kwaresma ni funga ya kizushi kwa kuwa haiendani na mafundisho ya Yesu kristo aliyewataka mjifumge nira yake na kujifunza toka kwake ?!
Yesu kiongozi wenu kafunga siku 40 usiku na mchana kama nyinyi mnamfuata Yesu kwelikweli kwanini msifunge usiku na mchana?!
Ukiuliza maswali ya kipumbavu tegemea majibu ya kipumbavu na si vinginevyo!Mbona wewe mimi nikikuuliza maswali hujibu unakimbilia kunitukana tu
Ili iweje. Ustaadh pasaka inamhusu nini? Uchokozi mwingine. Basi na mapadri nao waeleze maana swaumu.