Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Mitanzania mingi ni Mazezeta!Mtu yupo kanisani au msikitini kavaa jezi ya Man Utd.
Mtu yupo harusini au msibani kavaa jezi ya Yanga.
Mtu kaendda kufata huduma ofisi za serikali, kaenda kupiga passport kwa ajili ya Kitambulisho cha NIDA kavaa jezi ya Simba.
Mtu kaenda mahakamani kavaa jezi ya Barcelona.
Watanzania nani katuroga na huu mlipuko wa kuvaa jezi kila sehemu?
Jezi zina maeneo yake bhana sio kila sehemu!! Tubadilike…
Endelea kuwa mjinga kwa kujigeuza Afisa masoko wa Man United.hili nalo linakuumiza?.
Una safari ndefu ya maisha yako.
Shida Tumbo lako kuwa sehemu ya umiliki wa SportPesa na M-Bet.Khaaa jezi zina shido gn kwan
Nawe humo?Mitanzania mingi ni Mazezeta!
kuna jamaa yangu mmoja anafanya kazi kama afisa mikopo, anahudumia wateja na jezi la simba...nilimkaripia pila kujali umri wake na ukaribu wetuMtu yupo kanisani au msikitini kavaa jezi ya Man Utd.
Mtu yupo harusini au msibani kavaa jezi ya Yanga.
Mtu kaendda kufata huduma ofisi za serikali, kaenda kupiga passport kwa ajili ya Kitambulisho cha NIDA kavaa jezi ya Simba.
Mtu kaenda mahakamani kavaa jezi ya Barcelona.
Watanzania nani katuroga na huu mlipuko wa kuvaa jezi kila sehemu?
Jezi zina maeneo yake bhana sio kila sehemu!! Tubadilike…