Kwasasa zile kelele za GSM anaharibu ligi kutoka Simba hazisikiki tena !

Kwasasa zile kelele za GSM anaharibu ligi kutoka Simba hazisikiki tena !

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

MOJA KWA MOJA KWA MAKOLO

Kwasasa zile kelele za "GSM anaharibu ligi" hazisikiki kabisa!

Kwasasa Makolokwinyo wamehamia kwenye mjadala wa kizushi na Kishambenga kutoka Kwa muhasisi wa mjadala huo Jemedari Said!

Hata wale wazee washinda njaa pale Bunju sijawasikia tena na zile kelele zao za kishangingi ya kwamba mke wa Kalia anafanya kazi Kwa GSM ndiyo maana ligi yetu imeharibiwa!,

Kwasasa wameungana na Tabora United kutubeza kana kwamba wamebeba Ubingwa!

Kashinda Tabora ambaye Hana Ulimbukeni na ushindi ila Makolokwinyo ndiyo wanafuraha utadhani wakishinda wao!

Hizi furaha naomba ziendelee hata Yanga akiwa anashinda,zile kelele za GSM anaharibu ligi zisiwepo kwasababu imefahamika GSM aharibu ligi kama ambavyo MAKOLOKWINYO wameendelea kuwaminisha watu!

Tunaona timu zote kwasasa zinashinda Kwa uwezo wao,hivyo Mimi kama mwanayanga nawaomba Makolokwinyo wakiongozwa na shambenga la mji GENTAMYCINE na ndugu yake OKW BOBAN SUNZU hapo baadae kusije kuwepo na vilio ya kwamba GSM anaharibu ligi!

Karibuni Kwa matusi!
 
Yanga
Hii Inafungwaje ?
Naona huu wimbo Makolokwinyo mmeucheza kwenye mako makuu yenu yaliyojaa Vibaka Kwa Hali na nguvu zote kama mmechukua Ubingwa!

Naamini milio na Vikao kutoka Kwa Wazee wenu itaaanza muda si mrefu
 
Hii ndiyo furaha yenu mtani lakini muda si mrefu naamini milio itasikika kila Kona ya kwamba GSM anaharibu ligi!
Sasa huoni kuwa ndo nchi inachangamka? Bila hivi vitu mji utapoa...yani tunashutumiama tuu kika kona...
 
Kelele hizi zinezimwa na makelele ya vyura ya kwamba uwanja wa Azam Complex siyo mzuri kwao kwa kuwa una kamera za kuonesha sindanoza kusisimua misuli na mambo ya uchawi
 
Kelele hizi zinezimwa na makelele ya vyura ya kwamba uwanja wa Azam Complex siyo mzuri kwao kwa kuwa una kamera za kuonesha sindanoza kusisimua misuli na mambo ya uchawi
Zile siku Saba kutoka Kwa Wazee wenu washinda njaa pale Bunju bado hazijafika?

Eti Kolokwinyo,hebu tuambie
 
Back
Top Bottom