Kwasasa zile kelele za GSM anaharibu ligi kutoka Simba hazisikiki tena !

Kwasasa zile kelele za GSM anaharibu ligi kutoka Simba hazisikiki tena !

Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

MOJA KWA MOJA KWA MAKOLO

Kwasasa zile kelele za "GSM anaharibu ligi" hazisikiki kabisa!

Kwasasa Makolokwinyo wamehamia kwenye mjadala wa kizushi na Kishambenga kutoka Kwa muhasisi wa mjadala huo Jemedari Said!

Hata wale wazee washinda njaa pale Bunju sijawasikia tena na zile kelele zao za kishangingi ya kwamba mke wa Kalia anafanya kazi Kwa GSM ndiyo maana ligi yetu imeharibiwa!,

Kwasasa wameungana na Tabora United kutubeza kana kwamba wamebeba Ubingwa!

Kashinda Tabora ambaye Hana Ulimbukeni na ushindi ila Makolokwinyo ndiyo wanafuraha utadhani wakishinda wao!

Hizi furaha naomba ziendelee hata Yanga akiwa anashinda,zile kelele za GSM anaharibu ligi zisiwepo kwasababu imefahamika GSM aharibu ligi kama ambavyo MAKOLOKWINYO wameendelea kuwaminisha watu!

Tunaona timu zote kwasasa zinashinda Kwa uwezo wao,hivyo Mimi kama mwanayanga nawaomba Makolokwinyo wakiongozwa na shambenga la mji GENTAMYCINE na ndugu yake OKW BOBAN SUNZU hapo baadae kusije kuwepo na vilio ya kwamba GSM anaharibu ligi!

Karibuni Kwa matusi!
Lakini haina maana kuwa tatizo limetatuliwa, watu wanasubiri tff itoe majibu.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

MOJA KWA MOJA KWA MAKOLO

Kwasasa zile kelele za "GSM anaharibu ligi" hazisikiki kabisa!

Kwasasa Makolokwinyo wamehamia kwenye mjadala wa kizushi na Kishambenga kutoka Kwa muhasisi wa mjadala huo Jemedari Said!

Hata wale wazee washinda njaa pale Bunju sijawasikia tena na zile kelele zao za kishangingi ya kwamba mke wa Kalia anafanya kazi Kwa GSM ndiyo maana ligi yetu imeharibiwa!,

Kwasasa wameungana na Tabora United kutubeza kana kwamba wamebeba Ubingwa!
KMC Complex nayo imeanza kufungwa camera vyumbani
 
Zile siku Saba kutoka Kwa Wazee wenu washinda njaa pale Bunju bado hazijafika?

Eti Kolokwinyo,hebu tuambie
Ujumbe ulifika na ndio maana anayehangaika siku hizi ni yanga, hatulii, mara uwanja, mara anakamatwa ulozi, mara sindano za kuongeza makalio
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

MOJA KWA MOJA KWA MAKOLO

Kwasasa zile kelele za "GSM anaharibu ligi" hazisikiki kabisa!

Kwasasa Makolokwinyo wamehamia kwenye mjadala wa kizushi na Kishambenga kutoka Kwa muhasisi wa mjadala huo Jemedari Said!

Hata wale wazee washinda njaa pale Bunju sijawasikia tena na zile kelele zao za kishangingi ya kwamba mke wa Kalia anafanya kazi Kwa GSM ndiyo maana ligi yetu imeharibiwa!,

Kwasasa wameungana na Tabora United kutubeza kana kwamba wamebeba Ubingwa!

Kashinda Tabora ambaye Hana Ulimbukeni na ushindi ila Makolokwinyo ndiyo wanafuraha utadhani wakishinda wao!

Hizi furaha naomba ziendelee hata Yanga akiwa anashinda,zile kelele za GSM anaharibu ligi zisiwepo kwasababu imefahamika GSM aharibu ligi kama ambavyo MAKOLOKWINYO wameendelea kuwaminisha watu!

Tunaona timu zote kwasasa zinashinda Kwa uwezo wao,hivyo Mimi kama mwanayanga nawaomba Makolokwinyo wakiongozwa na shambenga la mji GENTAMYCINE na ndugu yake OKW BOBAN SUNZU hapo baadae kusije kuwepo na vilio ya kwamba GSM anaharibu ligi!

Karibuni Kwa matusi!
Ligi imesimama kelele utazisikia wapi!
 
kishambenga
kishangingi
makolokwinyo
tusichoshane

Mbona toka utoke Mara na kuja Jiji la pwani umekuwa na misemo ya kiupinde upinde.

Wakurya wenzako wakikusikia hivi wanaweza wakafyeka hicho kikojoleo chako.

unawaibisha na kuwafedhehesha sana Wakurya
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

MOJA KWA MOJA KWA MAKOLO

Kwasasa zile kelele za "GSM anaharibu ligi" hazisikiki kabisa!

Kwasasa Makolokwinyo wamehamia kwenye mjadala wa kizushi na Kishambenga kutoka Kwa muhasisi wa mjadala huo Jemedari Said!

Hata wale wazee washinda njaa pale Bunju sijawasikia tena na zile kelele zao za kishangingi ya kwamba mke wa Kalia anafanya kazi Kwa GSM ndiyo maana ligi yetu imeharibiwa!,

Kwasasa wameungana na Tabora United kutubeza kana kwamba wamebeba Ubingwa!

Kashinda Tabora ambaye Hana Ulimbukeni na ushindi ila Makolokwinyo ndiyo wanafuraha utadhani wakishinda wao!

Hizi furaha naomba ziendelee hata Yanga akiwa anashinda,zile kelele za GSM anaharibu ligi zisiwepo kwasababu imefahamika GSM aharibu ligi kama ambavyo MAKOLOKWINYO wameendelea kuwaminisha watu!

Tunaona timu zote kwasasa zinashinda Kwa uwezo wao,hivyo Mimi kama mwanayanga nawaomba Makolokwinyo wakiongozwa na shambenga la mji GENTAMYCINE na ndugu yake OKW BOBAN SUNZU hapo baadae kusije kuwepo na vilio ya kwamba GSM anaharibu ligi!

Karibuni Kwa matusi!
Tabora united fever
 
Back
Top Bottom