Hayo Magitaa msiyajaze poda tu.Tupo pamoja.
Tunapanga mabegi yetu.
Away we fly.
Kizito ipo wapi na kanisa gani inakwenda kuwakilisha huko
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ghilba za ndugu zetu zinawatoa utu.Mkuu unaonekana hujui vitu vingi [emoji16]
Ndiyo hiyo, Wazee wa "Mimina"Hivi kizito ni hii hii ya Mwenyeheri anuarite makuburi???
RCHiyo Kwaya ni ya Kanisa gani wadau?