Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Mgombea Ubunge Kibaha Bw. Kweka aliwapotezea wananchi akaendelea kutenda yake. Leo kwenye kampeni mzee huyu anapumulia mashine, wananchi wamemchoka na wajumbe pia walimkataa washukuriwe kina mama waliombeba.
CCM msaidieni huyu mtu kuwaomba wananchi msamaha na aache kiburi na majivuno, alitumwa kazi bungeni alipaswa kuifanya kazi aliyotumwa.
MATUNDA yakukaa kimya bungeni bila kuwasemea wananchi yanamgharimu.
CCM msaidieni huyu mtu kuwaomba wananchi msamaha na aache kiburi na majivuno, alitumwa kazi bungeni alipaswa kuifanya kazi aliyotumwa.
MATUNDA yakukaa kimya bungeni bila kuwasemea wananchi yanamgharimu.