Uchaguzi 2020 Kweka wa Kibaha anapumulia oxygen kwenye Kampeni

Uchaguzi 2020 Kweka wa Kibaha anapumulia oxygen kwenye Kampeni

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mgombea Ubunge Kibaha Bw. Kweka aliwapotezea wananchi akaendelea kutenda yake. Leo kwenye kampeni mzee huyu anapumulia mashine, wananchi wamemchoka na wajumbe pia walimkataa washukuriwe kina mama waliombeba.

CCM msaidieni huyu mtu kuwaomba wananchi msamaha na aache kiburi na majivuno, alitumwa kazi bungeni alipaswa kuifanya kazi aliyotumwa.

MATUNDA yakukaa kimya bungeni bila kuwasemea wananchi yanamgharimu.
 
Mgombea Ubunge Kibaha Bw. Kweka aliwapotezea wananchi akaendelea kutenda yake. Leo kwenye kampeni mzee huyu anapumulia mashine, wananchi wamemchoka na wajumbe pia walimkataa washukuriwe kina mama waliombeba.

CCM msaidieni huyu mtu kuwaomba wananchi msamaha na aache kiburi na majivuno, alitumwa kazi bungeni alipaswa kuifanya kazi aliyotumwa.

MATUNDA yakukaa kimya bungeni bila kuwasemea wananchi yanamgharimu.
Anaitwa FESTO KOKA sio KWEKA
 
Mgombea Ubunge Kibaha Bw. Kweka aliwapotezea wananchi akaendelea kutenda yake. Leo kwenye kampeni mzee huyu anapumulia mashine, wananchi wamemchoka na wajumbe pia walimkataa washukuriwe kina mama waliombeba.

CCM msaidieni huyu mtu kuwaomba wananchi msamaha na aache kiburi na majivuno, alitumwa kazi bungeni alipaswa kuifanya kazi aliyotumwa.

MATUNDA yakukaa kimya bungeni bila kuwasemea wananchi yanamgharimu.
Mwaka huu hii nchi hakuna boys,si walienda bungeni kusifu?
Acha wananchi wawaonyeshe kwa vitendo kuwa hawana akili
 
Mgombea Ubunge Kibaha Bw. Kweka aliwapotezea wananchi akaendelea kutenda yake. Leo kwenye kampeni mzee huyu anapumulia mashine, wananchi wamemchoka na wajumbe pia walimkataa washukuriwe kina mama waliombeba.

CCM msaidieni huyu mtu kuwaomba wananchi msamaha na aache kiburi na majivuno, alitumwa kazi bungeni alipaswa kuifanya kazi aliyotumwa.

MATUNDA yakukaa kimya bungeni bila kuwasemea wananchi yanamgharimu.
Waambie wanaanchi washikilie hapo hapo
 
Mgombea Ubunge Kibaha Bw. Kweka aliwapotezea wananchi akaendelea kutenda yake. Leo kwenye kampeni mzee huyu anapumulia mashine, wananchi wamemchoka na wajumbe pia walimkataa washukuriwe kina mama waliombeba.

CCM msaidieni huyu mtu kuwaomba wananchi msamaha na aache kiburi na majivuno, alitumwa kazi bungeni alipaswa kuifanya kazi aliyotumwa.

MATUNDA yakukaa kimya bungeni bila kuwasemea wananchi yanamgharimu.
Ndio maana ni halali kuwa wananchi kuwaadhibu,kwa kimbuga Cha kokoto wake wore wasiojali maslahi yao Kama waajiri wa wanasiasa.
 
Koka syo kweka,huyo ni bonge la mjasiriamali na lina hela mingi ubunge hapo anapiga mark time tu
Na sijui kama mtaweza kumtoa hapo

Ova
 
Back
Top Bottom