B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,443
- 3,002
Kweli jamaa Ni tajiri kweli kwelii......Ana cartaring service analisha migodi yote ya barrick,Ana miradi kibao ya mabilioni pia Ana kampuni ya personal protective equipment (PPE) na kiwanda jamaa is very rich aseeee sema hajionyeshi na hakunaa wa kumtoa kibaha