Uchaguzi 2020 Kweka wa Kibaha anapumulia oxygen kwenye Kampeni

Kweli jamaa Ni tajiri kweli kwelii......Ana cartaring service analisha migodi yote ya barrick,Ana miradi kibao ya mabilioni pia Ana kampuni ya personal protective equipment (PPE) na kiwanda jamaa is very rich aseeee sema hajionyeshi na hakunaa wa kumtoa kibaha
 
Utajili wake ndiyo unamfanya ashinde? Nadhani kama hajawafanyia kitu wananchi wanaweza kufanya lolote
 
Bila Tumeccm na Polisiccm. Hawafui dafu hawa.
 
Koka syo kweka,huyo ni bonge la mjasiriamali na lina hela mingi ubunge hapo anapiga mark time tu
Na sijui kama mtaweza kumtoa hapo

Ova
Kwa hiyo Ako catering ndio ina mpa kiburi? Any way Chadema wana hali gani?
 
Koka syo kweka,huyo ni bonge la mjasiriamali na lina hela mingi ubunge hapo anapiga mark time tu
Na sijui kama mtaweza kumtoa hapo

Ova

Nami nimeliona hilo, kwa Kibaha Koka hamna wa kumtikisa
 
Hahaha hahaha sasa Kama unaleta Taarifa za MTU usiemjua jina tukuelewaje acheni kukurupuka BAVICHA
 
Hivi ni Kweka au Koka?
 
Semehe saba mara sabini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…