serikali wakiongeza kodi mzigo huo auendi kwa kampun bali raia masikin.ndio apo ujue kampun azilip kodi bali raia ndio wanalipa.
kampun ni mwendo wa faida tu.
mkuu km umesoma kitabu cha rich dad poor dad utakuwa umethibitisha hya na serikal haiwez kuyabana haya makampun coz wanayategemea yalipe kodi ili waweze kuendesha bajeti yao hlf pia kuipunguzia serikal mzigo wa ajira ukiwa na kampun raha sna