Kweli betting imekuwa janga maana hata pro athletes wameanza kuhusishwa na issue hii

Kweli betting imekuwa janga maana hata pro athletes wameanza kuhusishwa na issue hii

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kuna addiction flani ukishiingia katika betting inakushikilia na haitakuachia hivi hivi no matter we ni tajiri kiasi gani.

Recently wacheza mpira maarufu wameanza kupigwa suspension ndefu kutokana na wao kujihusisha na betting. Mtu anaweza kuchomesha team ili tu apige kibunda.

Vijana mtaani wanashindia betting, wachache sana wanafaidika kiasi wengi wamekuwa mizigo.

Anyway, jifunze kujicontrol katika betting, usiweke maisha yako pale, ile sio investment ile ni "kama nikipata"
Screenshot_20231027_103841_X.jpg
 
Kuna addiction flani ukishiingia katika betting inakushikilia na haitakuachia hivi hivi no matter we ni tajiri kiasi gani.

Recently wacheza mpira maarufu wameanza kupigwa suspension ndefu kutokana na wao kujihusisha na betting. Mtu anaweza kuchomesha team ili tu apige kibunda.

Vijana mtaani wanashindia betting, wachache sana wanafaidika kiasi wengi wamekuwa mizigo.

Anyway, jifunze kujicontrol katika betting, usiweke maisha yako pale, ile sio investment ile ni "kama nikipata"
View attachment 2794397
Mkuu umeandika kwa haraka sana. Taarifa yako inakosa nyama. Hebu ijaze nyama kwanza ili tukuelewe unachomaanisha. Au kama utakuwa umeipata kwa lugha ya kingereza, iteremshe nzima nzima kama ilivyo tujisomee wenyewe.
 
Back
Top Bottom