Kweli duniani wawili wawili, Nape ni kama kopi ya Mwanasiasa Profesa Mark Mwandosya

Kweli duniani wawili wawili, Nape ni kama kopi ya Mwanasiasa Profesa Mark Mwandosya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ila sishangai hata Mimi GENTAMYCINE Watu wengi wananiambia nafanana ile mbaya na Bondia Mkongwe Mike Tyson.

Pia soma: Nape Nnauye: Nawapa pole na naomba radhi kwa kauli yangu ya ushindi nje ya boksi

Nimetoka kuiangalia Clip ya Nape akiomba Radhi kwa Kauli yake ya Goli la Mkono na nikamuona Mwandosya mtupu.

mark nape.jpg
 
Ila sishangai hata Mimi GENTAMYCINE Watu wengi wananiambia nafanana ile mbaya na Bondia Mkongwe Mike Tyson.

Pia soma: Nape Nnauye: Nawapa pole na naomba radhi kwa kauli yangu ya ushindi nje ya boksi

Nimetoka kuiangalia Clip ya Nape akiomba Radhi kwa Kauli yake ya Goli la Mkono na nikamuona Mwandosya mtupu.

dogo anamaumivu ya ndani kupita mnavyofikiria na kwabahati mbaya hayaponi kwa fedha bali kukubali ukweli na afanye maamuzi ya kile anachokikubali
 
Ila sishangai hata Mimi GENTAMYCINE Watu wengi wananiambia nafanana ile mbaya na Bondia Mkongwe Mike Tyson.

Pia soma: Nape Nnauye: Nawapa pole na naomba radhi kwa kauli yangu ya ushindi nje ya boksi

Nimetoka kuiangalia Clip ya Nape akiomba Radhi kwa Kauli yake ya Goli la Mkono na nikamuona Mwandosya mtupu.

Nape Mwandosya,.
Mbona hiyo kawaida sana. Kwa kuwa wewe ni Mkongwe, tafuta historia ya David Mathayo. Je, Umesahau kwamba kuna kipindi wanafamilia wa Moses Nnauye waliwahi kumkana huyo kuwa si Mwanafamilia?
 
Nape Mwandosya,.
Mbona hiyo kawaida sana. Kwa kuwa wewe ni Mkongwe, tafuta historia ya David Mathayo. Je, Umesahau kwamba kuna kipindi wanafamilia wa Moses Nnauye waliwahi kumkana huyo kuwa si Mwanafamilia?
Silence is golden when you have nothing to say.
Asingeropoka kule kwa mashemeji haya mengine ya chini ya zulia tusingeyajua.
 
Back
Top Bottom