GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naomba hiyo clipIla sishangai hata Mimi GENTAMYCINE Watu wengi wananiambia nafanana ile mbaya na Bondia Mkongwe Mike Tyson.
Nimetoka kuiangalia Clip ya Nape akiomba Radhi kwa Kauli yake ya Goli la Mkono na nikamuona Mwandosya mtupu.
Wenye Akili huwa hatuwajibu Majuha kama huyo nasikitika kuona Mtu Mwerevu kama Wewe umeweza kupata huo muda.Nani kadhalilishwa, mwandosya au??
π€£π€£π€£π€£We jamaa haunaga vitu vya maana vya kuandika? Au kichwani kwako kumejaa nonsense peke yake
dogo anamaumivu ya ndani kupita mnavyofikiria na kwabahati mbaya hayaponi kwa fedha bali kukubali ukweli na afanye maamuzi ya kile anachokikubaliIla sishangai hata Mimi GENTAMYCINE Watu wengi wananiambia nafanana ile mbaya na Bondia Mkongwe Mike Tyson.
Pia soma: Nape Nnauye: Nawapa pole na naomba radhi kwa kauli yangu ya ushindi nje ya boksi
Nimetoka kuiangalia Clip ya Nape akiomba Radhi kwa Kauli yake ya Goli la Mkono na nikamuona Mwandosya mtupu.
hii haihitajiki sana kwakuwa kwa nyazfa zao wanao uwezo wa kuchezesha majibu wanayotaka wao kwa ajili ya jamii na kura.Kawapime DNA
Nape Mwandosya,.Ila sishangai hata Mimi GENTAMYCINE Watu wengi wananiambia nafanana ile mbaya na Bondia Mkongwe Mike Tyson.
Pia soma: Nape Nnauye: Nawapa pole na naomba radhi kwa kauli yangu ya ushindi nje ya boksi
Nimetoka kuiangalia Clip ya Nape akiomba Radhi kwa Kauli yake ya Goli la Mkono na nikamuona Mwandosya mtupu.
Pamoja na kujua yote hayo juu yangu bado tu CERTIFIED FOOL Wewe unaendelea kupoteza muda wako Kunifuatilia JF.We jamaa haunaga vitu vya maana vya kuandika? Au kichwani kwako kumejaa nonsense peke yake
Wewe huyo au wana Ukoo wako Wote?Kichwa tikiti maji, ubongo kitenesi...
Silence is golden when you have nothing to say.Nape Mwandosya,.
Mbona hiyo kawaida sana. Kwa kuwa wewe ni Mkongwe, tafuta historia ya David Mathayo. Je, Umesahau kwamba kuna kipindi wanafamilia wa Moses Nnauye waliwahi kumkana huyo kuwa si Mwanafamilia?
Wewe huyo au wana Ukoo wako Wote?
Yawezekana.Mzee baba kwani uzi unanidiskasi mimi?
πππ€£π€£π€£ππ€£π€£π€£ alisema yeye ni mtoto wa mzee nnauye. Lakini sisi tuna majibu yetu pia
Mshana JrYawezekana.