zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Tuna mazoea kila sikukuu kupelekeana chakula .ikiwa ya upande wa dini yangu basi lazima hotpot ziende kwa jirani wa kaskazini na nyingine kusini.sasa Leo nimesubiria kwa hamu nikajua lazima hotpot zitakuja nifaidi kwa hiyo mchana sikuhangaika kabisa na chakula
Kila nikiskia mlango unagongwa nawahi kwa bashasha ila kutoka nje hakuna msosi uliokuja.nimetumia mbinu kibao lakini wapi.nikasema labda wamenisahau ,nikamtuma dogo nikijidai nawapa taarifa za Kenya uchaguzi kurudiwa ili tu wanikumbuke.mbinu hiyo pia ikagonga mwamba.uzalendo ukanishinda mida ya sa kumi ikabidi nijipitishe labda watanikumbuka.pia hiyo nayo imegonga mwamba.sasa kama wamefuta mkataba kwa nini wasingeniambia .Dah mtaani kweli hali mbaya .Baba J legeza kidogo baba
Kila nikiskia mlango unagongwa nawahi kwa bashasha ila kutoka nje hakuna msosi uliokuja.nimetumia mbinu kibao lakini wapi.nikasema labda wamenisahau ,nikamtuma dogo nikijidai nawapa taarifa za Kenya uchaguzi kurudiwa ili tu wanikumbuke.mbinu hiyo pia ikagonga mwamba.uzalendo ukanishinda mida ya sa kumi ikabidi nijipitishe labda watanikumbuka.pia hiyo nayo imegonga mwamba.sasa kama wamefuta mkataba kwa nini wasingeniambia .Dah mtaani kweli hali mbaya .Baba J legeza kidogo baba