kweli hili linanichanganya ushauli pls...

jembe afrika

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
7,603
Reaction score
3,776
wakuu niliwahi kuja na maada ya kuhusu wanawake weusi jinsi walivyo wazuri. Sasa kuna tatizo nilosahau kuwashilikisha.tatizo lenyewe ni muda wowote ni kikutana na mwanamke mweusi nachanganyikiwa kiasi hata nguvu zinaniishia hata naweza nikaacha kazi nilokua nafanya kwa muda.

Sasa wakuu nifanyeje hii hali angalau ipungue hata kidogo maana nahisi nitakua kichaa kwa hawa viumbe weusi.

Nahitaji ushauri wenu pls.
 
Nenda kwa watumishi wa Mungu wakuombee pepo baya la ngono likutoke.
 
mmmh sasa sijui unyofoe macho ili usiwe unauona?........
 
Biblia inasema, if your eyes cause you to sin, cast them out.

Sasa bwana sijui utaenda kwa fundi gereji.... hapo utajipanga.
 
You can't fool me by saying every black wuman walks before you unavutiwa nae. Wengine hawana maumbo mazuri, wengine hawana sura nzuri, wengine wamekosa vyote ingawa ni weusi. Nenda kwa psychologist utapata msaada wa tatiz6 lako mkuu.
 
acha kujiendekeza,ikatae hiyo hali kutoka moyoni mwako ama sivyo itakusumbua sana.

kama umeshindwa kabisa ukaombewe hilo pepo likutoke.
 
You can't fool me by saying every black wuman walks before you unavutiwa nae. Wengine hawana maumbo mazuri, wengine hawana sura nzuri, wengine wamekosa vyote ingawa ni weusi. Nenda kwa psychologist utapata msaada wa tatiz6 lako mkuu.

asante mkuu
 
acha kujiendekeza,ikatae hiyo hali kutoka moyoni mwako ama sivyo itakusumbua sana.

kama umeshindwa kabisa ukaombewe hilo pepo likutoke.

sasa nikienda huko kanisan si nitakutana nao wengine ndo nichanganyikiwe zaidi?
 
sasa nikienda huko kanisan si nitakutana nao wengine ndo nichanganyikiwe zaidi?
onaona jinsi mawazo yako yalivyo...yaani umeing'ang'ania hiyo hali na umeridhika nayo ndo maana unapata shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…