Negative
Member
- Dec 26, 2010
- 17
- 0
Nimewahi kufanya kazi kwa kipindi fulani katika Hospital ya Muhimbili, nikiwa pale nilikuwa nikisikia habari ambazo ni ngumu kidogo kuzirasimisha kutokana na unyeti wake.
Kuna daktari mmoja ambaye pia ni proffessor wa taaluma hiyo ya uuguzi, mtu huyu hutumia pesa zake na nafasi aliyonayo kurubuni wanawake halafu wakifika kwenye uwanja wa kuisaliti ndoa yake yeye hutumia spirit kwa kupaka ili kuua wadudu kwenye K, hali hii inasemekana husababisha maumivu makali sana sehemu hiyo pale inapotokea kuna michubuko ya aina yoyote.
Je, ndiyo musema tumebuni njia mpya ya kujikinga na Ukimwi ama ni kiburi cha pesa..?
Kuna daktari mmoja ambaye pia ni proffessor wa taaluma hiyo ya uuguzi, mtu huyu hutumia pesa zake na nafasi aliyonayo kurubuni wanawake halafu wakifika kwenye uwanja wa kuisaliti ndoa yake yeye hutumia spirit kwa kupaka ili kuua wadudu kwenye K, hali hii inasemekana husababisha maumivu makali sana sehemu hiyo pale inapotokea kuna michubuko ya aina yoyote.
Je, ndiyo musema tumebuni njia mpya ya kujikinga na Ukimwi ama ni kiburi cha pesa..?