Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Piga chini,ila uwe unamtumia mara moja hela ya matunda
uKiendelea nae,jua kuna siku atarudia huo ujinga au atakuua
uKiendelea nae,jua kuna siku atarudia huo ujinga au atakuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba hii isinitokeeMwambie sikuachi mpaka tuzichape kavu live apatikane mbabe!!
Shida huyo mwanamke ugomvi wake ni wa kuvizia, atakuloweka kwenye maji moto one day!!
Hatari sanaHamuwezi kuwa walevi mkabaki salama, hii dunia ina miiko yake lazima muifuate, mkiendelea kuikiuka wote mtaendelea kuwa kichekesho mbele za watu siku zote.
kwa kifupi ngoja niwasaidie wavivu wa kusoma ni kwamba, jamaa anaweka wazi kuwa yeye ni kati ya wale wanaume wanaopigwa na wake au mademu zao.Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.
Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.
Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.
Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.
Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.
Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.
Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.
Piga chini,ila uwe unamtumia mara moja hela ya matunda
uKiendelea nae,jua kuna siku atarudia huo ujinga au atakuua
Sasa utafanyaje mkuu, kumpiga mwanamke ni kosakwa kifupu ngoja niwasaidie wavivu wa kusoma ni kwamba, jamaa anaweka wazi kuwa yeye ni kati ya wale wanaume wanaupigwa na wake au mademu zao.
over...
na kupigwa na mwanamke ujue una udhaifu fulani ndio maana kafikiria hata kukupiga.Sasa utafanyaje mkuu, kumpiga mwanamke ni kosa
Mtata sana huyuEndelea nae mpaka akutie bisu la chembe.
Aliniwahi tuna kupigwa na mwanamke ujue una udhaifu fulani ndio maana kafikiria hata kukupiga.
Kwa hiyo unanishaurije mkuu?Achana na walanguzi mkuu
Huyo ndo pisi sasa askari wangu.
Au unataka pisi mideko ambao neno sitaki wanatamka "taaki"?
Pole mkuu... yule dada wa kilimanjaro mliishia nae wapi?...Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.
Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.
Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.
Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.
Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.
Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.
Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.
Duuh,Mbinguni hawaendi na vidonda!Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.
Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.
Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.
Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.
Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.
Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.
Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.
Pole lakini,. Usiachane na huyo kamandaAlikuwa anataka anitoboe fuvu kabisa
Nitaileta siku nyingine, sasa hivi najiuguza na maumivu ya kichwaPole mkuu... yule dada wa kilimanjaro mliishia nae wapi?...